Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtuπŸ€”

Huu mwaka nashindwa kuelwwa umeanza vizuri au vibaya maana umeanza na mitongozo afu leo tu nimetoka kwenye drips
Kuwa makini sana alafu kuna wimbi la baadhi ya wanawake kujirahisisha sijui n nn tatzo au ni january?
Alafu ukiwa umetulia huna habari na mizagamuano ndio zinajileta hatari.
 
Mi nilipigwa mistari na binti wa miaka 16 hadi nikamwambia "nipe muda nikafikirie ombi lako naogopa kukubali haraka usije kuniona malaya."

ila sisi wanaume kwakweli hatujui kukataa demu anaweza kukuita kwenye mlango wa jela na ukaenda
 
Mi nilipigwa mistari na binti wa miaka 16 hadi nikamwambia "nipe muda nikafikirie ombi lako naogopa kukubali haraka usije kuniona malaya."

ila sisi wanaume kwakweli hatujui kukataa demu anaweza kukuita kwenye mlango wa jela na ukaenda
Ndio maana hakuna jasusi hatari kama jasusi mwanamke.
 
Mwanangu toka nilivyoachwa na yule mdada utadhani aliniroga yani πŸ˜€
 
Watasema upele humuota asiye na kucha.


Lakini,

Mit 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake
je wajua.
mwamamke akikupa tunda kwa upendo hiyo sio zinaa bali kwa sababu zinginezo
 
Ukachukua simu yako, wewe mwenyewe. Akajidip(mfanyakazi wa sehemu unaejiamini)ukapata namba yake.
Sasa buraza, kama imefika hatua wewe ndo wa kutongozwa,si kesho utakuja kuuliza na mahali umeambiwa utolewe Sh ngapi?
Sawa,kazi yote ni kazi sikatai. Au labda mi ndo sielewi lugha. Ana framu zake mjini,amekuja kukusubiri wewe kwenye chakula cha buku jero!
Acha kudhalilisha watu.
Wewe uchukuwe kisimu chako hapo,jitext na ujijibu,af ulete jukwaani kwamba kaandika mwanamke!
JF ya siku hizi ni aibu.
Kila mada inaashilia ngono tuuuu.

Kwa kazi unayofanya unamtamani hata tu kuwa unakula bure si vinginevyo
 
Kuwa makini sana alafu kuna wimbi la baadhi ya wanawake kujirahisisha sijui n nn tatzo au ni january?
Alafu ukiwa umetulia huna habari na mizagamuano ndio zinajileta hatari.
Yaani ukitulia ndio wanajileta ukiwafatilia huwapati. Hutu dada itabidi nifanye nae mazungumzo ya kina
 
Huo ni mtego, baadae utajuta.....full stop
 
Kwanza unaonekana Kiswahili unakijua vizuri Sana ila kwa kutaka sifa umeamua baadhi ya maneno uweke kwa kiingereza( ujinga mtupu na ushamba).

Ushauri

Kabla ya yote hakikisha mnapima Afya kwa pamoja na hospital ya kwenda panga wewe.
 
Yaani binti wa 96 anakuzidi umri? Anyway hii JF kuna vijana wadogo sana kwa umri kumbe

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…