Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔

Hahahah

Mambo ya akina Mr. Blue hayo miaka ya 2000's . Na ndiyo sababu kubwa iliyowafanya wasanii wengi waliozoea kutunga nyimbo za mapenzi ya namna hii kupotea kimuziki.

Ikaja awamu ya wasanii wenye kujituma na kuonesha jinsi mwanaume mwenye pesa anavyomtafuta na kisha kumpata mwanamke mrembo.

Ushauri kwako Da vincci ,we mpe mimba tu ,unajua kuzaa na mwanamke mrembo ni raha sanaaaa hapa duniani.
 
Akajidip na ww ukampigia..hayaa twenfe kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…