Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Na mbususu nyingi zinanuka! Unakuta demu mkali lakini mbususu ni choo cha standi ya mbezi mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawana shobo tena na mademu ni mikausho mikali ..
Eti, "nilimpa chance lakini hakuitumia" Yeye ni nani kwenye hii dunia hadi aombwe namba na kila mwanaume ?
Umri wa Mwanamke unaposogea Mayai yake yanapoteza ubora kwa hio hilo hua kuna wakati linawaumiza sana kichwaHuyu dada anavyoongea inaonesha kabisa yuko na The Princess Complex, and She's So Entitled, kutokana na mvuto wake. Bahati mbaya amekutana na mwanaume ambaye hajamshobokea kama wajinga-wajinga wengine, hilo limemuumiza kichwa mpaka sasa.
"Eti, nilimpa chance lakini hakuitumia" Yeye ni nani kwenye hii dunia hadi aombwe namba na kila mwanaume ?
Alafu huyu mdada ukimuangalia meno yake ni wale wanawake wezi kutoka mkoa uleee! Myanamike mijizi itasubiri saana! TumewashtukiaHuyu dada anavyoongea inaonesha kabisa yuko na The Princess Complex, and She's So Entitled, kutokana na mvuto wake. Bahati mbaya amekutana na mwanaume ambaye hajamshobokea kama wajinga-wajinga wengine, hilo limemuumiza kichwa mpaka sasa.
"Eti, nilimpa chance lakini hakuitumia" Yeye ni nani kwenye hii dunia hadi aombwe namba na kila mwanaume ?
Kiufupi mwamba hakuomba namba kwasababu alifahamu, " A juice is not worth the squeeze"
Mwanaume kakuuliza jina, kauliza kazi anayofanya, kapiga stori mbili tatu na wewe, halafu hajakuomba namba lazima kuna kitu amekiona kwa huyo mwanamke. Inaweza kuwa alivyoongea naye tu na kufahamu kazi anayofanya, au hulka ya mwanamke akaamua kupotezea. Hata mimi huwa nafanya hivyo, nikiona mwanamke mizinguo.Alafu huyu mdada ukimuangalia meno yake ni wale wanawake wezi kutoka mkoa uleee! Myanamike mijizi itasubiri saana! Tumewashtukia
Nina videmu kama 2 vilivyomaliza chuo, najilia tu..
Nina kidemu 1st year, kinaililia daily...
Kuna mwingine 25yrs ananiomba daily nimtafutie mtu...
Kwa kifupi, mtaani vijana wa kiume hawatongozi kabisaaaa, hali ni tetee..
Hapo ni kwa kifupi tu, ila nikileta lists ya vidada vinavyoteseka na u single ni ndefu mnoo
Kuwakazia ndio usalama wa vibunda vyetuWatu hawana shobo tena na mademu ni mikausho mikali ..
Huyu manzi wala siyo mkubwa kivileee, sema tu inaonesha ana zile tabiza za kupenda Entitlement, worship me, put me on a pedestal. Atakuwa anatoka Kaskazini huyu, lazima. Mamanzi wengi wa Kaskazini hizi ndiyo pigo zao.Umri wa Mwanamke unaposogea Mayai yake yanapoteza ubora kwa hio hilo hua kuna wakati linawaumiza sana kichwa
Ndio hivyo Ila Mwanamke akikuelewa usipomtongoza hua anaumia sana sababu yeye Mayai yake yana expire date mda unaenda na ubora unapoteaHuyu manzi wala siyo mkubwa kivileee, sema tu inaonesha zile tabiza za kupenda Entitled, worship me, put me on a pedestal. Atakuwa anatoka Kaskazini huyu, lazima.
Sasa kama mayai yake yana expire, wanaume ndiyo Incubator ya kutotoresha hadi nije kumuokoa kwa kumtongoza! Dude Please.Ndio hivyo Ila Mwanamke akikuelewa usipomtongoza hua anaumia sana sababu yeye Mayai yake yana expire date mda unaenda na ubora unapotea
Halafu hivi vikundi vya kufa na kuzikana vimekuwa kero katika jamii, wakati mwingine namuuliza wife, umeingia huko kwa sababu unajua nitawahi kufa! Sababu najua mtu akifa awe kwenye kikundi asiwe kwenye kikundi jamii itazika tu.Ogapa hio kitu inaitwa Mchezo sijui Marejesho sijui ndugu yake na Vicoba na Vikundi vya Kufa na Kuzikana
hatuna maokoto mzeeHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Tatizo wanawake hawajui nin wanaume tunahitaji.Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Wanawake wamejirahisisha Sana siku hiziHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Na km hawaamini walete waone km tutadil nayo ni mikausho tu.Hatuombi namba siku hizi mikausho mikali hata ukiileta namba PM hatuna time nayo
Huko kuna vipesa huo wanapokea kwa zamu zamu sasa huo mtiti wakeHalafu hivi vikundi vya kufa na kuzikana vimekuwa kero katika jamii, wakati mwingine namuuliza wife, umeingia huko kwa sababu unajua nitawahi kufa! Sababu najua mtu akifa awe kwenye kikundi asiwe kwenye kikundi jamii itazika tu.