Mda huwa hauzungumzi wanao zungumza ni watu. Unless kama principal imebadilika sawaKuna watu wanadai Mbowe ni CCM. Wengine wanasema Mbowe akiona hela analegea, Wengine wanadai Mbowe ni Mtu wa System tena cheo cha Juu sana.
Muda utazungumza....................