Naona Leo polisi wameruhusu maandamano ya Mbowe

Naona Leo polisi wameruhusu maandamano ya Mbowe

CCM chama Cha majambazi ndicho kinafadhiliwa na mabwenyenye.
gentleaman relax tu,

there is no way kibaraka akaruhusiwa kufanya utopolo au makolo yoyote humu nchini kwenye chama chake au nje ya chama chake kwa niaba ya mabwenyenye ya magharibi,

hakuna namna atafanya,
na hataruhusiwa kufanya maandamano yoyote humu nchini,

ataruhusiwa maandamano ya kwenda kukwea pia na kurudi huko ng'ambo kwa mabwenyenye wanao mfadhili :pedroP:
 
Ulitaka tuseme Samiah must stay?. Ulitaka tumsifie mwenyekiti wa CCM asiyejali ulinzi wa raia wake?. Samiah must go, even now.
relax kamanda,

hakuna kitu mwanasiasa wa chama chochote cha siasa humu nchini, anaweza kufanya kitu kwa mihemko, makasiriko au ulevi akafanikiwa humu nchini,

hata huyo kibaraka wa kufadhiliwa na hao mabwenyenye hawezi kufurukuta hata kidogo hususani kwenye suala la amani ya waTanzania :pedroP:
 
gentleaman relax tu,

there is no way kibaraka akaruhusiwa kufanya utopolo au makolo yoyote humu nchini kwenye chama chake au nje ya chama chake kwa niaba ya mabwenyenye ya magharibi,

hakuna namna atafanya,
na hataruhusiwa kufanya maandamano yoyote humu nchini,

ataruhusiwa maandamano ya kwenda kukwea pia na kurudi huko ng'ambo kwa mabwenyenye wanao mfadhili :pedroP:

Mabwenyenye gani hao?. Taja mmoja tu. Wewe kila siku unafadhiliwa na nchi za magharibi mbona hujisemi?. Lissu kutibiwa ubelgiji imekuwa issue. Tena wenyewe ndio mlimpiga risasi.
 
relax kamanda,

hakuna kitu mwanasiasa wa chama chochote cha siasa humu nchini, anaweza kufanya kitu kwa mihemko, makasiriko au ulevi akafanikiwa humu nchini,

hata huyo kibaraka wa kufadhiliwa na hao mabwenyenye hawezi kufurukuta hata kidogo hususani kwenye suala la amani ya waTanzania :pedroP:

Kwa hivyo nyie akili yenu yote ipo Kwa Lissu, ila watu wasio julikana mpo kimya. Nyie mna akili kweli. Yani hamtaki Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA Kwa nguvu zote ila kupotea Kwa raia hasa wanachama wa CHADEMA kwenu sio issue. Aiseeeh! hiyo nayo mnaiita serikali.
 
Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Maelekezo toka Ikulu
 
Mabwenyenye gani hao?. Taja mmoja tu. Wewe kila siku unafadhiliwa na nchi za magharibi mbona hujisemi?. Lissu kutibiwa ubelgiji imekuwa issue. Tena wenyewe ndio mlimpiga risasi.
si hao wa magharibi wanao mfadhili kibaraka, awagawanye na kuwapasua chadema halafu tena eti aje, kuligawanya taifa :pedroP:
 
Kwa hivyo nyie akili yenu yote ipo Kwa Lissu, ila watu wasio julikana mpo kimya. Nyie mna akili kweli. Yani hamtaki Lissu awe Mwenyekiti wa CHADEMA Kwa nguvu zote ila kupotea Kwa raia hasa wanachama wa CHADEMA kwenu sio issue. Aiseeeh! hiyo nayo mnaiita serikali.
kama Taifa,
akili ipo katika kulinda amani na utulivu wa waTanzania,

hakuna haja ya kubabaika sana na kibaraka wa mabwenyenye ambae sasa hivi ana mawenge na anawewewseka mno baada ya tamaa zake, ubinafsi, makelele na mdomo kumkosesha vyeo vyote chadema :pedroP:
 
Back
Top Bottom