ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kwa Faida ya Nchi au faida ya nani ??! 😳🙄political games zinazochezwa na state
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Faida ya Nchi au faida ya nani ??! 😳🙄political games zinazochezwa na state
Kwisha habari yao ???!!Chadema imeshamalizwa.....
Mbona hata ya Boniface Jacob waliruhusu? Tena ilikuwa siku ya kazi.Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Faida ni kwa yule anaefaidika na michezo hiiKwa Faida ya Nchi au faida ya nani ??! 😳🙄
This is for real 😳!Trusted like fox ! James Hadley Chase
Sizitaki mbivu hizi hakuna aliyemzuia LisuUmeona hao wanaomsindikiza Mbowe ni wangapi?. Mimi nimeona ni akina mama na wapiga Ngoma wanatembezwa kwenye jua Kali. Lissu angeita maandamano pangejaa zaidi ya mara kumi ya huyo dictator.
Na Chadema ndio kwishney ??! Au ?!Sizitaki mbivu hizi hakuna aliyemzuia Lisu
Kaenda kuchukua fomu na kurudisha kimya kimywa utafikiri kafumaniwa au mchawi
Hakuna mtu alimzuia achukue na kurudisha fomu kwa mbwembwe
Lisu hana watu .Huu uchaguzi atapigwa chini vibaya hadi akome
After Money 💰 ??! Au ?!Mbowe ni ccm
Boni yai inasemekana yupo na Mbowe 🙄 !Mbona hata ya Boniface Jacob waliruhusu? Tena ilikuwa siku ya kazi.
Huru na Haki kama ilivyo kwa Chaguzi zote zinavyokuwaga !Nani hamtaki? Si anagombea? Na kutakua na uchaguzi huru na haki kwanini mnalia kabla?
Unakumbuka wakati Lisu anakamatwa na Polisi kule Iringa...?Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
😂😂😂Wengine wanasema Mbowe akiona hela analegea
Kwa hali ya sasa, Mbowe hata akiomba pesa toka Serikalini ili afanyie kampeni za kuutafuta huu uMwenyekiti wa CHADEMA, atapewa.Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Miaka yote 20 ya uenyekiti mmenyà maza tuu kumbe mnaongozwa na CCM!Nakubali Asilimia mia
Unaonaje wewe ukaanza movement? au zako ni za kwenye keybord pekee?MBOWE=CCM
wakenya hawaamini hata Raial Odinga wanaamini wao kama wao, sasa nyie endeleeni kutegemea mtu, Kwa akili za wabongo hakuna kitu Lisu anaweza fanya, nyie ni wajasiri wa keybordKwa hali ya sasa, Mbowe hata akiomba pesa toka Serikalini ili afanyie kampeni za kuutafuta huu uMwenyekiti wa CHADEMA, atapewa.