Mda huwa hauzungumzi wanao zungumza ni watu. Unless kama principal imebadilika sawaKuna watu wanadai Mbowe ni CCM. Wengine wanasema Mbowe akiona hela analegea, Wengine wanadai Mbowe ni Mtu wa System tena cheo cha Juu sana.
Muda utazungumza....................
Kwani hujiulizi kwa Nini Polisi walizingila Ikungi yote wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa,lakini hawakufanya hivyo Hai kwa Mbowe.Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Akina Dk Slaa wanasema kapewa Milioni 800 juzi.Kwa hali ya sasa, Mbowe hata akiomba pesa toka Serikalini ili afanyie kampeni za kuutafuta huu uMwenyekiti wa CHADEMA, atapewa.
POLICCM wanafurahia kuwaona CHADEMA mnavyovurugana, ni kama Mtu anayelipia King'amuzi aone Comedy 🤣🤣🤣Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Mpinzani halisi Tanzania hii alikuwa Mchungaji Mtikila TUMBOWE=CCM
Kumbe unajua?Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Nipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Mwacheni ili apate kura 7. Tena asiondoke abakie tuijemge CDM mpya.Lissu amejifunza Nini Leo,kama ana akili?
Ushauri WA Bure: Jiondoe kugombea,unaaibika
Zamani nilikuwa siamini madai hayo na nilimuona FAM kama mpnzani wa CCM kindakindaki. Matukio ya hivi karibuni yamenithimitishia vinginevyo na kunifanya nipoteze imani yangu kwa Chadema na vyama vya upinzani kwa ujumla.Kuna watu wanadai Mbowe ni CCM. Wengine wanasema Mbowe akiona hela analegea, Wengine wanadai Mbowe ni Mtu wa System tena cheo cha Juu sana.
Muda utazungumza....................
SaccosNipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Mbowe ni mwenzaoNipo live naona Mbowe anafanya maandamano muda huu kwenda kurudisha fomu. Ila nimejiuliza imekuaje Polisi wameruhusu haya maandamano?. Ninaanza kuhisi ipo siku Lissu ataanza kupigwa vita na Polisi na watu wengine wa serikali kwenye huu mchakato wa uchaguzi. Leo polisi wamekuwa wema kwa Mbowe kufanya maandamano ila ni juzi tu hapa walizuia maandamano.
Pole kuvurugwa Hadi kulaumu. Marehemu, Anza weweHapa wa kulaumiwa ni Nyerere kwa kutuletea mfumo wa vyama vingi bandia.
Mbowe ni agent wa CCM mwenye cheo cha juu sana pale Elite community.
Kwa liwale, tandahimba, na newala mabomu ya petrol yalishaandaliwaInawezekana ni Script ya maigizo
Wewe pekee unajuaAlipotoka tu siku hiyo hiyo akaenda Ikulu. Baadae akadai hatamsema vibaya mama. Kuna Siri kati ya Mbowe na Rais Samiah ambayo wengi hawainui.