Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wapumbavu wapo siku zoteYani muhasibu WA UN arudi kitaa aanze kupiga miayo.
Vijana tunadanganyana sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hadi hapo nadhani umepata jibuLabda kwa huo upande…
Maana huku siku boss akiambiwa amchomeke mtoto wa shangazi yake basi ni anasakwa mtu wa kunyofolewa [emoji854]
Yeah kwa mtu anayependa kusoma sana hiyo imekaa vizuri maana kusoma sana nacho ni kipajiUn organisation na hiz NGO wanakula pesa nzur sana... ila mimi nataka kula hela zao kupitia consultation works.. na zipo nyingi sana.. na huwez kupata consultation za maana kama sio academician..
Mwisho wa siku aisee.. wenye elimu ndo hutajirika asikuambie mtu... hizi consultation works wananyonga hizo dola elfu kumi kumi bila jasho
Waswahili tuna roho mbaya sana 😝Sio mbaya mkuu,uzuri uzoefu angalau unao.View attachment 2285068
🤣Sio mbaya mkuu,uzuri uzoefu angalau unao.View attachment 2285068
😅😅😅😅Sasa hivi analipwa mil 7Sio mbaya mkuu,uzuri uzoefu angalau unao.View attachment 2285068
Toa uthenge wako hapa ungehangaika kutafuta tuition ya kufundisha toka hueleweki kama sigara nyotaUna a very poor mindset mkuu.. usitake tuwek salary slip hapa.
Acha uongoKawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
BipolarKawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Mkuu umepiga hatua haraka haraka Sana,Mungu amekunyanyua Sana Maana miaka kadhaa iliyopita Hali ilikua Tete Ila Sasa hivi Naona unachezea kwny Tsh. mid-seven hongera sana boss.Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Itabd mkuu aweke salary slip hapa watu waaminiMkuu umepiga hatua haraka haraka Sana,Mungu amekunyanyua Sana Maana miaka kadhaa iliyopita Hali ilikua Tete Ila Sasa hivi Naona unachezea kwny Tsh. mid-seven hongera sana boss.View attachment 2285200View attachment 2285201
Naunga mkono hoja mkuu.Itabd mkuu aweke salary slip hapa watu waamini
Security ni kubwa na unakuwa huru kufanya mambo yako mengineBora nilipwe mshahara mdogo serikalini kuliko mkubwa private sector
Sidhani aisee, ni mmoja kwny watu 1000Mpaka moyo umedunda,private sector kumbe Kuna watu wanapokea million 7,na nimfanyakazi tu hayupo kwenye board may be,kumbe nipo mbali na dunia .
Unataka kuishi kwenye comfort zone ni tatizo kubwa sana la waafrika na watanzaniaKawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Kusanya mtaji ukafanye mambo yako kwenye academics napo hakuna urahisi unaofikiri......kwanza ni sababu serikali imelala ila wakiamua kufuata miongozo watu wafanye research hakuna hiyo free time unayoisema.Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying