FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Mipaka gani unayosema? Golan Heights?Unaweza ukaleta ushahidi lini Syria ilitumika kushambulia Israel??
Je unazungumziaje Israel kukalia baadhi ya mipaka ya Syria je hiyo sio violation of international law?
Soma historia kuanzia Vita ya Siku Sita (1967).