Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Umemaliza kwa ghadhabu na ukweli mtupu

Kweli wizi hautaisha maana sio kwa hali hiyo
Na tatizo ni ajira pia kwani kama kuna kazi nyingi na mishahara ingepanda na hata kazi zingine hazihitaji elimu kihivyo
Akili ya blackman ni utumwa yaani kuuza mda wake Kwa muhindi, mwarabu, Mzungu au Mchina.
Ukitoka kwenye huo utumwa wa kuajiriwa ndipo mengi yatafunguka.
Kama Hakuna kamba ulipoajiriwa wewe unayasindikiza maisha
 
Duuuh Maisha yangekuwa rahisi hivi.!
Kwahiyo yeye hali Wala haishi hana matumizi yoyote na pia ni sehemu gani mtu anapukuchua gunia moja kwa debe moja.?

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Umesahau betting
 
Duuuh Maisha yangekuwa rahisi hivi.!
Kwahiyo yeye hali Wala haishi hana matumizi yoyote na pia ni sehemu gani mtu anapukuchua gunia moja kwa debe moja.?

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Maisha ni rahisi ukiwa na ability ya kuzisolve equation.
Nimeweka malipo ya debe sababu KWA vijijini mlipano wa cash wengine hawana.
Inatakiwa kupukuchua mahindi ujaze gunia moja ulipwe elf 2000 kila gunia.
KWA Saa mashine inapuchukua 2 au gunia 20.Mashine ni mobile unamaliza Kazi unaita pikipiki inavuta una hamia location ingine.
Ni project tayari pana mtu anafanya.
Mazao karibu mikoa yote wakulima utumia mikono kupukuchua au wanapiga kwa fimbo in primitives ways.
Atashindwa vipi kumeet daily cost wakati anaingiza pesa kwa pesa.
 
Bro hutoboia hakika utoboi kazi si tatizo je mahesabu yanakubali? Au unafanya kazi mwisho wa siku unakuwa sawa tu na yule asie na kazi!
Kama expenses ni kubwa kuliko mshahara then hutoweza kusave,hutoweza kufanya investment, laki tatu ni nzuri kama ukishatoa matumizi yote

Mjomba fanya uchambuzi yakinifu then ingia mzigoni jiajiri uko unatumia akili zako zote


Ushauri wangu fanya kazi mwaka mmoja then kajiajiri save sana mshahara uo miezi iliyobaki iyo ndo utaanzia biashara
 
Zunguka vijijini ulizia migodi ya feldspar mwenye nayo hasa grey and shine ..Kama kashindwa kuendesha njoo inbox uniambie iwe na leseni tufanye kazi🏃🏃
 
Acha ujinga wewe kitoto.
Tuliza akili kusanya kidogo kidogo uwe na capital ya kutosha kujiajiri sio matako kuwa kila mtu anayo

Jichunguze utaweza na je una passion n hayo mambo sio badae uanze kutupa story za mikono ya watu kwenye mikono yako
 
Mshahara wako hauna tofauti na askari magereza.
Ila maisha haya njiani unamuona mtu kaulamba suruali kali shati imenyooka kiatu kikali ila Kichwani stress tupu mshahara kidogo +masaa ya kazi mengi.
Ndiyo iko hivo mkuu, ila bora huyo aliye ulamba hivo.
 

Ukiona huwezi fanya maamuzi mwenyewe ya kuacha kazi na kujiajiri ujue mda bado na usiache, unachopaswa kuuliza ni, nimeacha kazi, nimeamua kufanya biashara ya machungwa, wajuzi wa biashara nipeni ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…