Akili ya blackman ni utumwa yaani kuuza mda wake Kwa muhindi, mwarabu, Mzungu au Mchina.Umemaliza kwa ghadhabu na ukweli mtupu
Kweli wizi hautaisha maana sio kwa hali hiyo
Na tatizo ni ajira pia kwani kama kuna kazi nyingi na mishahara ingepanda na hata kazi zingine hazihitaji elimu kihivyo
Inategemea na mahali mzee..kuna mahali chumba cha elfu 50 mlango haufungi na bati limetobokaKwa maelezo yako naona unaishi juu ya kipato,kwa kamshahara hako unathubutu kupanga kwa 60,000 kwa mwezi,duuh
Hiyo ofisi haina allowance nyingine?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hizo hesabu zake ni kali mnoLaki 3 kwa siku ni buku 1?
Duuuh Maisha yangekuwa rahisi hivi.!Hio laki 3 kama haina ya ziada achana nayo. Jitoe kwenye utumwa wa kuajiriwa.
Msimu wa mavuno ya mahindi unakaripia tengeneza au nunua mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga,mtama, maharage, ngano,nk mashambani, kavune pesa mikoani.
Gunia moja KWA malipo ya debe moja,
Hadi msimu unaisha ukosi gunia elf 1000, Mtaji tosha.
Weka stop, msimu wa njaa uza mahindi, nunua mifugo kusanya boresha KWA kunenepesha uza kwa bei ya juu, ndani ya mwaka tu we ni wa tofauti.
Huu mzunguko unaweza ukaufanya mwaka mzima, kama ndio ajira yako ya kudumu.
Umesahau bettingKama moja ya hii idea, ukitaka business plan yake utapata.
IDEAS ZA KUTOKA KIMAISHA KWA MTAJI MDOGO
1.Nunua pikipiki ya Dhamana ukaanza biashara ya Boda boda.
2.Fungua saluni
3.Mradi wa tofali za kuchoma
3.Fuga kuku
4.Somea ujuzi wowote
5.Mradi wa kushona nguo
6.kijiwe cha kuchomelea
7.kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum
8.Mgahawa Mdogo
9.Kijjwe cha kahawa
10.Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, nk
11.Mashine ya kukata nyasi, kupalilia
12.Kuuza mbuzi, kuku,
13.Biashara ya mazao.
14.kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu
15.Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash,
16.Kutengeneza unga wa lishe
17.Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa
18.Jiko la supu
19.kutengeneza mkaa mbadala
20.Kuuza chips
21.Kukaanga kuku
22.Kutengeneza vitafunio
23.Kuzalisha ethanol
24.kufuga poko mbuzi katoliki
25.Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji
26.Kufungua vijiwe vya Kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini
27.Kuuza juice
28.Kuuza juice ya miwa
29.Kijiwe cha kukaanga samaki jioni
30.Shughuli za upambaji kumbi
31.Kusambaza bidhaa majumbani
32.Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33.Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk
34.Kufungua tuition center
35.Kufungua grocery
36.Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani
37.kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma,oil chafu na tairi chakavu.
38.Kufungua genge la kuuza basic home need
39.Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40.Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi
41.Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, nk
42.Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake
43......Jengea vyumba vitatu wazazi wako nyumba ya Bati upate baraka
44..Nunua shamba
45.Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji.
Au nunua mbuzi anza kufuga
46.Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira
47.duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga
48..Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane
49..Duka la spea za pikipiki na baiskeli
50.Duka la dawa na vipodozi
51..ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini
52..ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa
53.. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda
54... Ufugaji nyuki na kuuza asali
55.. Kuzalisha unga wa muhogo
56..Direct sale yaani door to door delivery hapa unakuwa na torori na speaker unapita KILA nyumba unauza bidhaa na kuchukua oda ya nini wanataka Ili kesho uwaletee.
57.Utengenezaji pellets chakula cha mifugo,samaki.
58..unga wa lishe
59..mikeka
60.bidhaa za mianzi.
61.utengenezaji wine,
62.usafi wa majumbani
63.kuuza uji wa ulezi,mchele
64.utengenezaji mbolea za mboji na za maji.
65.utengenezaji wa vigae vya cement na vya udongo.
66.kupanda miti kwa ajili ya nguzo na mirunda
67.utengenezaji wa ndala
68.utengenezaji viatu
69.Upondaji kokoto
70.ufundi simu na radio
71.Utengenezaji mifagio
72.utengenezaji crips za Mihogo,ndizi,viazi,nk
73.Utengenezaji tambi,ubuyu
74.panda mlonge,au nyonyo,au mibono au muarobaini Ili uje uuze mafuta,au utengeneze sabuni.
75.Kutengeneza siagi ya karanga
76.Home delivery hapa ni kupita KILA nyumba na kuchukua oda za mahitaji yao then unaenda kununua unawaletea
77.Utengezaji wa vifungashio vya karatasi
78.utengenezaji mitungi,vyungu,majiko ya udongo
79.Kuwatengeneza kucha wadada
80.Utengenezaji mkaa
81.Udalali
82.Ufundi chuma
83.ufugaji nyuki
Maisha ni rahisi ukiwa na ability ya kuzisolve equation.Duuuh Maisha yangekuwa rahisi hivi.!
Kwahiyo yeye hali Wala haishi hana matumizi yoyote na pia ni sehemu gani mtu anapukuchua gunia moja kwa debe moja.?
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Bro hutoboia hakika utoboi kazi si tatizo je mahesabu yanakubali? Au unafanya kazi mwisho wa siku unakuwa sawa tu na yule asie na kazi!Ajira ninayoifanya ni sawa na bure ujue.
Maana ni saa moja asubuhi hadi saa nne usiku.
So kwa siku lazima nitumie Elfu 5
Chakula 2000
Nauli 1000
Dharura 1000
So Elfu 5 kwa mwezi ni kama 150000
Hapo kodi 60000
Umeme 10000
Maji bili 10000
Jumla kama ya 230000
Nabakiwa na 70000
Kumbuka hapa nina mke njlimweka aende kwao akajifungue.
Pande zipi nafaka inalipaUza pikipiki uongeze mtaji
kisha Ingia chimbo uanze kuuza NAFAKA.
Ukiwa na 4mil kama mtaji ni pesa mingi sana.
ukiona inapendeza njoo PM nikutaftie mteja wa Boda hio
Acha ujinga wewe kitoto.Wakuu,
Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi NSSF wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so niko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.
Ndiyo iko hivo mkuu, ila bora huyo aliye ulamba hivo.Mshahara wako hauna tofauti na askari magereza.
Ila maisha haya njiani unamuona mtu kaulamba suruali kali shati imenyooka kiatu kikali ila Kichwani stress tupu mshahara kidogo +masaa ya kazi mengi.
Chief unaonekana unanifahamuMshahara wako hauna tofauti na askari magereza.
Ila maisha haya njiani unamuona mtu kaulamba suruali kali shati imenyooka kiatu kikali ila Kichwani stress tupu mshahara kidogo +masaa ya kazi mengi.
Wakuu,
Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa.
Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema mkataba uliwahi kuisha.
Hivyo Sehemu nayofanyia kazi kwa sasa nalipwa laki 3 ambayo hiyo hela nikijumlisha na mahitaji yote ni ndogo sana.
Juzi NSSF wamenilipa million 3. Na nina pikipiki nilinunua bodaboda wangu kairudisha so niko nayo.
Nimepata wazo la kuacha kazi nikajiajiri kwa hii Hela niliyoipata ya mafao.
Niliwaza mkoa wa Morogoro au Dodoma.
Ushauri wakuu.