Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja

Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja

Mimi nilisema humu, ukiwa Msukuma usitumie smartphone mtatuletea matatizo kila siku kulalamika mnaibiwa data. Wasukuma mtumie simu za vitochi kwa miongo 4 ijayo, kisha mtakuwa mmejifunza nini maana ya simu janja.
 
Hivi kwa mfano ukawasha Hotspot kwa bahati mbaya, mtu mwingine anatumiaje bila mimi kujua wakati itamlazimu kuweka Password?

Nape umepuyanga.
 
Nimeremote Kila kitu na nimetrack band width na usage mpk kwa system apps HAKUNA background mitembeo ila Hesabu zinakataa... Labda Sina kichwa Cha Hesabu km Simu janja
 
Mimi nna application ya jf na wasap tu!sina zaidi ya hizo You tube siingiagi kabisaa naweza kaa ht mwezi lakini mmeshangaa niliweka bando la GB moja within 2hrs naambiwa zimebaki 256MB,ndani ya DKK 20 nazo zikaisha aseehh!hya makampuni nyokoo sanaa!hapo Nimeongea na simu almost 45 mins!

Haya makampuni kuna namna wanafanya !yaani Tigo Mlinikwanza isingekua line ambayo baba angu anaijua ningevunja
 
Does bandwidth affect internet speed?
Je bandwidth inaweza kufanya bando kuisha haraka?
 
Mbona malalamiko yalikuwa mengi ila mheshimiwa sana amejibu hoja moja tu ya kula bando kisirisiri?
Kuna wanaolalamika kuunganishwa kwenye michezo ya bahati nasibu bila ridhaa yao na wanakatwa pesa ila kujitoa hadi utume meseji.
Tatizo la nchi yetu wanasiasa ndio wasemaji wa mambo ya kitaalamu halafu ni wa familia zile zile tu.
 

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Bungeni kuwa Serikali inaendelea kuchambua malalamiko ya matumizi ya Bundle kwenye simu.

Amefafanua, "Malalamiko kwamba kuna Bundle zinawekwa kwenye Simu, zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo, yamefikishwa Mamlaka husika na Uchambuzi umefanyika. Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa".

Ameongeza, "Matatizo hayo yamejikita kwenye maeneo mawili; 1) Hizi simu za kisasa wakati mwingine hata ukiwa hutumii kuna baadhi ya Applications zinaendelea kufanya kazi nyuma ya simu. 2) Simu hizi unaweza kuweka Bundle lako ukawasha 'Hotspot' kinachoruhusu mtu mwingine kutumia Data uliyonayo".

Kupitia Twitter Waziri Nape ameandika.

"YEYOTE ANAYEAMINI KAIBIWA KIFURUSHI KABLA HAJATUMIA AKAKUTA KIMEISHA, ALETE USHAHIDI TUTAFANYA UCHAMBUZI KWA KUTUMIA VIFAA VYA KISASA NATUTAWEKA HADHARANI KUONYESHA TATIZO LILIPO. Lakini mpaka leo malalamiko yote yaliyopokelewa tatizo limekutwa ni uelewa wa matumizi ya simu JANJA"
Waziri wa bando
 

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Bungeni kuwa Serikali inaendelea kuchambua malalamiko ya matumizi ya Bundle kwenye simu.

Amefafanua, "Malalamiko kwamba kuna Bundle zinawekwa kwenye Simu, zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo, yamefikishwa Mamlaka husika na Uchambuzi umefanyika. Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa".

Ameongeza, "Matatizo hayo yamejikita kwenye maeneo mawili; 1) Hizi simu za kisasa wakati mwingine hata ukiwa hutumii kuna baadhi ya Applications zinaendelea kufanya kazi nyuma ya simu. 2) Simu hizi unaweza kuweka Bundle lako ukawasha 'Hotspot' kinachoruhusu mtu mwingine kutumia Data uliyonayo".

Kupitia Twitter Waziri Nape ameandika.

"YEYOTE ANAYEAMINI KAIBIWA KIFURUSHI KABLA HAJATUMIA AKAKUTA KIMEISHA, ALETE USHAHIDI TUTAFANYA UCHAMBUZI KWA KUTUMIA VIFAA VYA KISASA NATUTAWEKA HADHARANI KUONYESHA TATIZO LILIPO. Lakini mpaka leo malalamiko yote yaliyopokelewa tatizo limekutwa ni uelewa wa matumizi ya simu JANJA"
Kwani wizi unafanyika kijinga namna hio? Yeye anaweza ku trace back-end wanafanyaje hao wenye makampuni ya simu?

Wizi unaofanyika ni wa kuuziwa bundle feki tu. Unanunua 1GB ila kimsingi umepewa 600MB wanakutapeli kwa style hio. Kwa tuliopita pita kwenye IT tunajua tu ni namna gani unaweza cheza na lines of Command to ili upate matokeo unayotaka kwenye GUI.

Ukitaka kuamini kuna wizi tumia 1GB ya Zantel na ya Halotel halafu uone zitadumu muda gani? Play same content from youtube with same quality.
 
Tena kwa wale ambao mna accept vitu tu kiholela..kimsingi Nape yuko sahihi, Mtafute Maxence Melo atakuelezea 'how it works'!

Wewe acha kuropoka tuu hii mitandao ni wezi haiwezekani kila mtu akawasingizia hivi unafikiri huyo Nape wako anajua nini kuhusu matumizi ya simu na vifurushi ambacho watu wote wanao lalamika hawajui au sisi hatujui? Hebu twambie Nape au na wewe unajua nini ambacho watu wengine hawajui? Kila siku visingizio ni kusema oooh apps ziko on na data umeacha on ....
 
Mimi nilisema humu, ukiwa Msukuma usitumie smartphone mtatuletea matatizo kila siku kulalamika mnaibiwa data. Wasukuma mtumie simu za vitochi kwa miongo 4 ijayo, kisha mtakuwa mmejifunza nini maana ya simu janja.

Huu ndio utoto wenyewe watu wanajadili mambo ya msingi wewe unaingiza utoto wa kuharibu mada!
Hivi hao uliowataja ndio hulalamika peke yao kuwa vifurushi vyao vinamalizika haraka.....?
 
Kwani wizi unafanyika kijinga namna hio? Yeye anaweza ku trace back-end wanafanyaje hao wenye makampuni ya simu?

Wizi unaofanyika ni wa kuuziwa bundle feki tu. Unanunua 1GB ila kimsingi umepewa 600MB wanakutapeli kwa style hio. Kwa tuliopita pita kwenye IT tunajua tu ni namna gani unaweza cheza na lines of Command to ili upate matokeo unayotaka kwenye GUI.

Ukitaka kuamini kuna wizi tumia 1GB ya Zantel na ya Halotel halafu uone zitadumu muda gani? Play same content from youtube with same quality.

Na kwa hakika wizi unafanyika namna hiyo kwa kuuzia watu bando fake unaambiea GB 5 kumbe ni GB 3 na hapo ugumu unakuja kwenye kujua kama hili bando ni kweli ni GB 5 au lah.....
 
Halotel wamekuwa wezi sana sikuhizi, unaweka Gb 5, unazunguka kidogo online ukija kuangalia unakuta Mb200
Ndio nimewaambia hawa jamaa wanacheza na lines of command tu! Ni condition statements tu wanacheza nazo. Huwezi ukakaa ujue haya hata uwe Samia Suluhu ila watu wa IT wanajua huu mchezo.

IF (Kajiunga 1GB)
then (Mpe MB 600)
Print (Umepokea 1GB za kutumia kwa masaa 24)
Else (Salio lako halitoshi)
 
Back
Top Bottom