Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana asisemwe kwa sababu wa umeme hajasemwa. Kila mmoja atasemwa kwa wakati wake.We umemwona Nape tu wa umeme na maji mbona hauwazungumzi na umeme unakatwa kila siku sio kwamba mvua hazijanyesha.
Naona kama anaonewa Nape umeme na maji ndio ingekuwa kipaumbele kwa sababu inaathiri maisha ya mtanzania wa chini moja kwa moja. MB anasa tu hizi.Una maana asisemwe kwa sababu wa umeme hajasemwa. Kila mmoja atasemwa kwa wakati wake.
una maana Nnauye alibambikiwa mimba!Wenyewe wanadai baba ake Nape bado anadunda. Ni yule Profesa Mnyakyusa.
Anapata % yake kutoka kwa hayo makampuniNdugu zangu sina chuki,wivu wala sina ugomvi na mh.Nape,lakini ukweli sijaona chochote ambacho amefanya chenye maana ambacho kina manufaa kwa watanzania zaidi ya kusimama na matajiri kutukandamiza wanyonge.Kama kuna yeyote mwenye kujua atujuze,tuweze kumpongeza maana ni mwana jf mwenzetu kitambo sana.
Hizi address za makazi sijazielewa...
Mtaa mmoja nimelipa 1500
Mtaa mwingine 3000
Mtaa mwingine 1500
Sasa sielewi ipi bei halal
Alimbambika kesi ya uongo ya Rushwa Mgombea wa Chadema Suleiman Methew kwa kuitumia TakukuruNdugu zangu sina chuki,wivu wala sina ugomvi na mh.Nape,lakini ukweli sijaona chochote ambacho amefanya chenye maana ambacho kina manufaa kwa watanzania zaidi ya kusimama na matajiri kutukandamiza wanyonge.Kama kuna yeyote mwenye kujua atujuze,tuweze kumpongeza maana ni mwana jf mwenzetu kitambo sana.
Linanenepa tuuu hana cha maana kwa nchi hiiiNdugu zangu sina chuki,wivu wala sina ugomvi na mh.Nape,lakini ukweli sijaona chochote ambacho amefanya chenye maana ambacho kina manufaa kwa watanzania zaidi ya kusimama na matajiri kutukandamiza wanyonge.Kama kuna yeyote mwenye kujua atujuze,tuweze kumpongeza maana ni mwana jf mwenzetu kitambo sana.
Mkuu seleiman methew alikuwa na nguvu gani hata ambambikiwe kesi?Alimbambika kesi ya uongo ya Rushwa Mgombea wa Chadema Suleiman Methew kwa kuitumia Takukuru
Ukimuuliza Nape bila shaka atakujibu , kama kulikuwa na nguvu ya Methew mwenyewe au Chadema , bali hakuna mashaka kwamba Methew alikamatwa kwa kusingiziwa uongo wa kutaka kumhonga DED ili atangazwe mshindi .Mkuu seleiman methew alikuwa na nguvu gani hata ambambikiwe kesi?
Nadhani anamaanisha kupanda kwa vifurushi bila sababu ya msingi.. Hiyo nayo ni hoja inayopswa kujibiwa kwa hojaToa mifano jinsi anavyosimama na matajiri kutukandamiza, sio unaleta hoja bila utetezi. Ni hoja mfu