mimisiowewe
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 315
- 309
Acha uzushimaulidi ni usalama pia na ninmkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzushimaulidi ni usalama pia na ninmkubwa
Mkuu haya yote ni kumlinda bashiteDah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?
Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Hiyo post haina lolote la maana. Nenda kaongee hilo la kuweka mikono mifukoni kwa mkwe wa Mwangosi. Hivi mnadhani bastola ni funguo za gari kiasi kwamba unaweza ukaweka mfuko wa mbele na isijulikane kwamba ni bastola? Kama huyo askari alidhani kwa kuweka mikono mfukoni basi Nape alikuwa na silaha, ni lazima akafanye Sup ya mafunzo ya silaha.Soma post # 423 ya uzi huu.
Angeshindana na harmorapa Kwa mbioPasco mayalla angekuwa yeye sjui angefanyaje
Ova
And still counting mkuu! Kuna wanawake wenye uvumilivu uliotukuka aisee.Wewe hili tu la leo limekushangaza hivi, umewahi kujiuliza mama jesca ameshangaa mangapi toka amjue John??
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Acha tuu.Wewe hili tu la leo limekushangaza hivi, umewahi kujiuliza mama jesca ameshangaa mangapi toka amjue John??
Tumuombe Mola wetu muumba wa mbingu na ardhi atuepushe na hayo. amani, upendo na ucha Mungu ututawale.People at the top are not thinking rationally any more. By Tundu Lissu. Nina uhkika before April if this Bashite drama is not solved damu itamwagika
Wewe hili tu la leo limekushangaza hivi, umewahi kujiuliza mama jesca ameshangaa mangapi toka amjue John??