Kabisa kabisa.Anastahili kuitwa kiroboto, kwani uwavunjia heshima wenzake kwa kuwaita wahuni, na walikuwa wanakusudia kuwamaliza, maneno yanamtoka wakati watu wameshambuliwa kwa risasi, watu wametekwa na wengine hawaonekani hadi leo, pia watu wametolewa bastola adharani, hiyo yeye anajuwa na uenda alishiriki kufanikisha uovu huo, astahili heshima hata kidogo!
Mkuu kama hakuna chama mbadala inakuwaje hapo!? Watz mwaka kati 2010 na 2015 waliichoka sana CCM ikiwemo mimi lakini sasa unakipa Chama gani cha maana zaidi ya CCM kwa sababu vyama vilivyobaki ni SACCOS za watu binafsi siyo kama taasisi kama ilivyo CCM at least.Hapana unakosea CCM haiwezi kutawala milele Mana kanuni ya vyama vya siasa huzaliwa,hukua na hatimae hufa.Tanzania ndo itakaa milele tu vyama ni vya muda tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kiroboto apewe za usoMan hunting will lead to Samia downfall, Nilikuwa nawaambia hapa wanamtandao wapo ndio hai akina nape
CCM ya Nape, wapo wengi waliuwawa, Mawazo wa Geita, waandishi kumwagiwa tindikali na kutobolewa macho, Muulize Kibanda, Mwandishi wa habari kuuwawa Iringa, Dr. Mvungi alilalamika anafuatiliwa baadae kuvamiwa na kukatwa mapanga hatimae kifo. Muulize Dk. Ulimboka kutekwa kung'olewa kucha kisa kudai haki za madakitari.CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Nadhan hoja hapa sio mgao wa umeme mkuu, ni vema ukaanzisha bandiko juu ya mgao wa umeme tuchangie mkuu! Halaf kuna mamb yanatakiwa yawe handled technically na sio politically!!So wewe ni mmoja wapo unaeshangilia mgao wa umeme?
Acha ukuda bas bwashee 🤣🤣🤣Kiroboto tena?
Muda siyo mrefu kigogo atajulikana.
Slow slow atakuwa alihusika kumteka Nepron na kumlazimisha akaombe radhi! Sasa Godfather ame RIP kila mmoja sharubu mlimaBaada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Unaniweka kwenye makundi yenu mnayofanya wakati mimi sipo kwenye makundi hayo anyway. Usiwe unaandika vitu vya kufikirika havikusaidii, katubu.Ndo hivyo sasa. Ninyi mliwabagua watanzania kwa kuwabomolea nyumba zao na kuwafanyia maovu debe; na ninyi sasa leo mmeambiwa chama kina wenyewe....
Ni titi for tat. Wee unavoambiwa auae kwa upanga atauliwa kwa upanga ulizan ni mpaka liwe ni lile panga la kukatia majani?!!
Nikukumbushe tu Hakuna uovu unapita duniani bila kulipwa mzee...mtalipa hadi tone la mwisho la maovu yenu mliyowafanyia watanzania
Kwani JPM alikua msukuma?Mbona huo ni uongo JPM alikua Msubi hili kabila linapatikana karagwe na badae walihamia waliya ya biharamulo ndo ikagawanywa na kupatikana wilaya ya Chato.Kuhusu JPM kuongea lugha ya kisukuma ni kwamba hili kabila limemezwa na utamadini wa kisukuma nazani mmeelewa .Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, watu wengi humu JF hawaelewi hata nini kinaendelea kuhusu hii movie.
Ngoja leo hapa JF nifungue code chache.
Sote tunapaswa kujua kuwa kuna vita kubwa sana ya kimaslahi ndani ya CCM kwa sasa baada ya Magufuli kufariki dunia. Vibaraka wote wa JPM wamepangwa kunyofolewa kwenye madaraka ya serikali na chama ili vibaraka wa Hangaya (JK) washike hatamu. Anachokifanya Hangaya ni kutimiza mapatano ya uhuni wa 2015 uliofanywa na JK kupitia genge lake (akiwemo Nape, January, Kinana, Makamba nk) uliohakikisha ufalme haiendi kwa mmasai wala hauendi upinzani kwa kutumia koti la kisukuma (JPM). Alichokifanya JPM baada ya kuingia madarakani kilikuwa kiko kinyume na mapatano ya kupewa urais wa dezo na genge la Msoga, ule ulikuwa ni uasi dhidi ya JK. Huo ndio ukweli wa kwanza.
Ukweli wa pili ni kuwa, Pole Pole ndio mjumbe rasmi wa kuongea mbele ya umma kuwakilisha Sukuma gang. Pole Pole anatumika kutishia, kutikisa kiberiti na kutuma ujumbe dhidi ya utawala wa Msoga gang. Wale wote waliokuwa ndani ya utawala wa JPM na kwa sasa wako kimya, basi mdomo wao wa kusemea ni Pole Pole. Ukiona ngedere mjini basi ujue kuna mtu anamfuga!
Ukweli wa tatu ni kuwa Pole Pole yuko mbioni kufukuzwa, kusimamishwa au kufungwa mdomo kisiasa (kupewa cheo cha kufungwa mdomo kama ubalozi, RAS nk) na utawala wa sasa, na tayari hilo ameshalijua, press yake ya leo ilikuwa ni "Political strategy" ya kuwatisha watawala waogope kuchukua hatua walizozipanga au wakizichukua iwe more advantage kwake kisiasa, hiyo inaitwa Pre emptying approach. Tetesi za kusema leo Pole Pole alikuwa ajivue uanachama wa CCM mbele ya vyombo vya habari zilianzishwa na team ya Pole Pole, kimakusudi na kimkakati ili kutisha na kupima upepo wa watawala wa sasa. Ni mbinu ya kisiasa.
Ukweli wa nne ni kuwa Nape ndio mwanasiasa aliyepangwa rasmi na Msoga gang kujibizana na Pole Pole kwa sasa. Anachokifanya sasa Nape sio bahati mbaya, ni jambo limepangwa na analitekeleza. Muda sio mrefu Nape naye atakuwa na vipindi vya tv na platform za kuongea mitandaoni. Yaani ngedere atajibiwa na ngedere, maana wote wako mjini wanafugwa!
Mwisho kabisa ni kuwa Nape anarudishwa tena serikalini, muda sio mrefu, na huenda akarudishwa wizara ile ile aliyotolewa au kwenda wizara fulani mpya iliyoanzishwa na Magufuli ikihusika na wizara ile ile aliyokuwepo Nape.
Leo ndo umejua kukataa makundi?!! Hujui makundi yameasisiwa na dikteta na wewe ulikuwa kundi la dikteta!Unaniweka kwenye makundi yenu mnayofanya wakati mimi sipo kwenye makundi hayo anyway. Usiwe unaandika vitu vya kufikirika havikusaidii, katubu.
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
War of power je Nape mwenyewe mtoto wa kambo na mtumikaji hana hadhi sawa na hao wengine mtoto kambo tuAcha kiroboto apewe za uso
Hivi wewe unajua mimi naandika kutoka wapi? kweli wewe unahitaji msaada wa Mungu.Leo ndo umejua kukataa makundi?!! Hujui makundi yameasisiwa na dikteta na wewe ulikuwa kundi la dikteta!
Kwa Nini? Kama jpm aliwezq Tena kwa kuua wanaomkosoa atashindwaje Samia mpolr, mnyrnyekevu na anayeheshimu mawazo ya wengineSamia hataweza kuiingoza hii nchi
Sauti ya Nape ni ya wale wengi walioumizwa na yaliyokuwa yakiendelea ndani ya chama wakati wa kipindi cha utawala wa JPM. Polepole ni lazima atambue majira na nyakati.Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto[emoji1787][emoji1787]ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke [emoji443]NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Yaani watu kama hawa wanajiona wanamiliki hii nchi.