Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lakini risasi 16 mwilini yeye ndiyo alitakiwa kuwa muoga kuliko watu wote duniani lakini ambebaki kuwa mkweliMzee Lisu nae ana moyo wa nyama, jiulize kwann mpaka sasa anataka ahakikishiwe usalama wake? Means he still fears for his life!!
Nape nakuunga mkono 100%Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.
Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.
“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.
“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Dah.....tuache kudanganyana banaa....."katika hii dunia ogopa Mungu na Teknolojia"- Rughe.....Mkuu umesahau kua mwendazake amejivika cheo cha izilaili.
Waislam wanasema ukiona mtu anafanya kitu kibaya hatua ya kwanza mkataze kwa mdomo,kama huwezi hatua ya pili tumia nguvu zako,kama humuwezi tena hatua ya 3 na mwisho chukia lile tukio na mchukie na anaetenda.
Kipindi cha mwendazake watu wengi walibaki kwenye kuchukia maana hawakua na ubavu tena.ukithubutu kwa hatua yoyote unaweza kunyofolewa roho.
Hivyo mkuu usimulaumu mtu kwa kutoongea kitu kwa wakati ule.
Ukigongwa na nyoka hata unyasi utauogopa.Mzee Lisu nae ana moyo wa nyama, jiulize kwann mpaka sasa anataka ahakikishiwe usalama wake? Means he still fears for his life!!
Jamaa lakini bado hajabadilika na hata alipokuja kwenye uchaguzi mbona alibaki yule yule?Mzee Lisu nae ana moyo wa nyama, jiulize kwann mpaka sasa anataka ahakikishiwe usalama wake? Means he still fears for his life!!
Hii ipo kivyote mkuu.ukiishi kwa kufuata hivyo utakua mtu bora sana.na ndio maana unaona hata mwiguru alifukuzwa kwa zalau akaja kuteuliwa tena kwa heshma na mtu huyohuyo.asingekua na hekima ya kufuata hivyo isingewekana.lakini alijua nikiongea hapa kitakachinikuta sio kizuri.ingawa labda hakukubaliana na hali ile.Hii ipo kiimani zaidi au ni scholarly opinion ya kidunia?
Huyu amekurupuka.angefuata hayo hapo juu yasinge mkuta hayo.mtu kama humuwezi na anafanya makosa kwenye jamii kama huwezi kumzuia kuendeleaa kufanya makosa hayo unatakiwa umchukie na ukaenae mbali au mtenge kabisa.Dah.....tuache kudanganyana banaa....."katika hii dunia ogopa Mungu na Teknolojia"- Rughe.....
Cha misingi kila mtu ashinde mechi zake. Full stop
View attachment 2151048
Kwani kwenye kamusi hakuna neno wanyonge?Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.
Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.
“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.
“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Umekula leo?Wewe ndo pimbi unafikiri unyonge unatoka kwa kwenda kutafuta vijipesa kuna kujenga madarasa yenye viwango feki? Unyonge unatoka kwa kufanya kazi na kujitegemea na kuwa wazalendo sio chawa kama huyo mwenye makunyazi shingoni! Magufuli alitoa kilelezo kweli kweli huyo anasema tuache kuitwa wanyonge baada ya kupata uwaziri! Taahira kweli!
Marehemu nduli au marehemu yupi? Kama ni yule nduli, Nani angethubutu kuhatarisha ugali wake au hata uhai?Mbona kipindi cha marehemu hakusema hiyo kauli ni mbaya?
Mbona Magufuli alikuwa hakisema sisi Tanzania ni Nchi tajiri hatuitaji Misaada ya hajabuajabu,ila sisi Ndio tunaitaji kutoa msaada mlikuwa mnazodoa hapa,tena katika Marais waliwapa hope Watanzania ni Magufuli, alituambia Watanzania tutembee kifua mbele kwa kujiamini, sasahivi angalia wanyonge Kama machinga na Mama ntilie wanavyonyanyaswa,angalia huko Msoma Wazungu wameisha anza kumwaga sumu hadi kwenye mto,hata watu wanyonge wakifa wafe Maana hakuna mwenye kuwafanya chochote, Kwa Magufuli tajiri alifanywa chochote Ndio Maana adabu ilikuwepo, Sasahivi myonge anaanza kuswaga tu Maana wanajua akuna mtetezi.Mambo ya wanyonge aliyaleta magufuli kuwadanganya Ili awaibie bahati nzuri mungu akamuwahi
Kila zama na vitabu vyake, ulikuwepo wakati wa Musa , ukaja wakati wa Joshua, ukaja wakati wa Yesu Kristo nkMbona kipindi cha marehemu hakusema hiyo kauli ni mbaya?
Hiyo safari ya kwenda huko tunakotaka kwenda mbona hawakuianzisha kabla ya marehemu , kama walikuwa wanapajua ni wapi,Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.
Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.
“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.
“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Msitumie vibaya maandiko kuhalalisha uchawi, hakuna kila zama.na kitabu chake , MUNGU anasema Neno lake halitapita kamwe, hata Joshua aliamriwa na MUNGU asome maandiko yaliyoandikwa na Musa na wala hakupewa kitabu chake kipyaKila zama na vitabu vyake, ulikuwepo wakati wa Musa , ukaja wakati wa Joshua, ukaja wakati wa Yesu Kristo nk
Hakuna kitu kama hichoKila zama na vitabu vyake, ulikuwepo wakati wa Musa , ukaja wakati wa Joshua, ukaja wakati wa Yesu Kristo nk
Mbona Mbowe, Mnyika, Lissu, Fatuma Karume na Maria wote walithubutu?Marehemu nduli au marehemu yupi? Kama ni yule nduli, Nani angethubutu kuhatarisha ugali wake au hata uhai?
Wasiojulikana wangem'Ben Saanane au wangem'Tundu Lissu, alishatolewa bastola hadharani.Mbona kipindi cha marehemu hakusema hiyo kauli ni mbaya?
Bora angekaa kimya mpuuzi mkubwa yuleWasiojulikana wangem'Ben Saanane au wangem'Tundu Lissu, alishatolewa bastola hadharani.
Si unaujua msemo wa 'keshaumwa na nyoka akiona unyasi anashtuka'.
Uhuru wa kuongea bila ya hofu ya kutekwa umerudi.Bora angekaa kimya mpuuzi mkubwa yule