Nape ondoka Wizarani bila shuruti, kwa sasa hupendwi na Wananchi na Mungu pia

Nape ondoka Wizarani bila shuruti, kwa sasa hupendwi na Wananchi na Mungu pia

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Sitoandika mengi hapa kwako Nape,

Yani vifurushi leo unakuja na lugha laini ila ikipita miezi kadhaa wazunguka huko huko huenda kutekeleza malengo yako, maana mmeishajua mwenye nchi wasahaulifu, watapiga kelele, ila nyie mwala mema ya nchi, hivi mwafikili hizi pesa za dhuluma mtazikwa nazo kaburini.

Tunajua hakuna kiongozi wa Taifa hili asietumia simu, so wewe umekaa hapo ofisi unapoamua jinunulia kifulushi KWa matumizi yako binafsi huoni uhuni wafanyapo hawa ndugu zako wa mitandao ya simu? Jibu hapa.

Yapo mambo magumu kutrace ila sio kwenye vifurushi, moja ya huduma unayotumia kila siku, na Kama hujui hayo ni matatizo binafsi ya kwako.

Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho, asema Bwana!
 
Yani Hawa mawaziri wengine sijui nini wanacho vichwani mwao,leo unaongea hili Jion wako na wale wale panga dili
Asante kuliona hili.

Mimi naongezea; Nina ushahidi wa kutosha sana kwamba makampuni ya simu yanaibia wananchi bando za data /"MB". Hili lipo wazi, na hawawezi kuruhusu kampuni huru ya nje ije kufanya uchunguzi.

Nafikiri Nape hawezi kuondolewa na aliyemteua kwa sababu wanakusanya pesa ya kuhonga uchaguzi wa 2025.
 
Asante kuliona hili.
Mimi naongezea; Nina ushahidi wa kutosha sana kwamba makampuni ya simu yanaibia wananchi bando za data /"MB". Hili lipo wazi, na hawawezi kuruhusu kampuni huru ya nje ije kufanya uchunguzi...
Mkuu ataondoka tu hata Kama anabackup ya watu nyuma ,na wao wasipo shutuka wataondoka kwa fedhea badala ya heshima, yani watu wakae umiza watu kisa uchaguzi , Kama unafanya vizuri why kuogopa chaguzi? Twende tu
 
Hawa viongozi wa serikali... Badala ya kutoa ruzuku kwa TTCL ije na vifurushi nafuu, wao wamekazana na mafuta na mbolea.

Wanasahau kuwa sasa Dunia inaendeshwa na mawasiliano.

Kwenye bajet ijayo, naiomba serikali iitengee TTCL ruzuku ya bil 20 kwa mwaka ili kukabiliana na ongezeko la gharama za vifurushi vya internet.

Yani juzi kati buku ilikuwa inanunua 1GB. Sasa hivi buku hiyo hiyo inanunua 0.45 GB!
 
Hawa viongozi wa serikali... Badala ya kutoa ruzuku kwa TTCL ije na vifurushi nafuu, wao wamekazana na mafuta na mbolea.

Wanasahau kuwa sasa Dunia inaendeshwa na mawasiliano.

Kwenye bajet ijayo, naiomba serikali iitengee TTCL ruzuku ya bil 20 kwa mwaka ili kukabiliana na ongezeko la gharama za vifurushi vya internet.

Yani juzi kati buku ilikuwa inanunua 1GB. Sasa hivi buku hiyo hiyo inanunua 0.45 GB!
Ni viongozi Hawa Hawa wanaiua TTCL , leo shirika la uma TTCL ilikua ni mwanya kufanya biashara na kuliingizia shirika faida Kama sio taifa , ila Sasa wanaanza wapi wakati mfumo umetekwa na wahuni, ? That's siku MOJA nikasema hata hii SGR utaenda kuwa Kama TTCL pamoja na mapesa kibao yamewekezwa kule , angalia bei za bando, alafu jiulize
Waziri yupo?
Wizara ipo?
Waziri mkuu yupo ?
Makam wa Rais yupo?
Rais ambaye Halali yupo?

Nape achia kiti , Mungu anakwambia KWa sauti kubwa, Mwigulu nilisha mpa ujumbe wake tatizo mpaka dam ziwatoke masikioni ,hamtaweza shindana na nguvu ya Mungu , January usikae mbali na ujumbe huu ,hamtaki mtajiju
 
Sitoandika mengi hapa kwako Nape,

Yani vifurushi leo unakuja na lugha laini ila ikipita miezi kadhaa wazunguka huko huko huenda kutekeleza malengo yako, maana mmeishajua mwenye nchi wasahaulifu, watapiga kelele, ila nyie mwala mema ya nchi, hivi mwafikili hizi pesa za dhuluma mtazikwa nazo kaburini.

Tunajua hakuna kiongozi wa Taifa hili asietumia simu, so wewe umekaa hapo ofisi unapoamua jinunulia kifulushi KWa matumizi yako binafsi huoni uhuni wafanyapo hawa ndugu zako wa mitandao ya simu? Jibu hapa.

Yapo mambo magumu kutrace ila sio kwenye vifurushi, moja ya huduma unayotumia kila siku, na Kama hujui hayo ni matatizo binafsi ya kwako.

Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho, asema Bwana!
Labda ungesema serikali ya ccm yote iwachie uongozi.

Ukimuondoa Nape atakuja Nape mwingine maana wote ni wana ccm
 
Mm namkubali pamoja na familia yangu yoooooote.
Unamkubali nani pamoja na familia Yako mkuu, wenda katika Hali ya kibinadam tu nami namkubali ila sio katika kuongoza ,haiwezekaniki , kwamba leo wasema Mambo yako sawa kesho ni msiba ,hii kikwetu inaitwaje mkuu,? Wa hivi tupa kule
 
Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho,



Wewe nani uniamuru sababu ya kukalia kiti ninayo [emoji16][emoji38]
 
Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho,



Wewe nani uniamuru sababu ya kukalia kiti ninayo [emoji16][emoji38]
Wanasema tatizo la magonjwa ya akili Tanzania linazidi kukua..
 
Iko hivi ccm Mungu ameifuta na nyakati zake za kutawala zimekwisha, ila Sasa ndo wapo Madarakani ,so hatuwezi ACHA sema haya ,yapo mengine ni siri kubwa ,kubwa Sana , wale watumishi wa Mungu wa kweli wenda pia wanayajua haya, siri kubwa
Labda ungesema serikali ya ccm yote iwachie uongozi.

Ukimuondoa Nape atakuja Nape mwingine maana wote ni wana ccm
 
Iko hivi ccm Mungu ameifuta na nyakati zake za kutawala zimekwisha, ila Sasa ndo wapo Madarakani ,so hatuwezi ACHA sema haya ,yapo mengine ni siri kubwa ,kubwa Sana , wale watumishi wa Mungu wa kweli wenda pia wanayajua haya, siri kubwa
"Mungu CCM ameifuta na utawala wake umekwisha ila sasa ndio wako madarakani" mtoa mada umedata sio bure hivi huko mtaa wa ufipa mnanyeshwa nini [emoji16][emoji38]
 
The untouchable Prince Nape of Msoga Kingdom!
 
Back
Top Bottom