Nape ondoka Wizarani bila shuruti, kwa sasa hupendwi na Wananchi na Mungu pia

Nape ondoka Wizarani bila shuruti, kwa sasa hupendwi na Wananchi na Mungu pia

Sio Nyape peke yake, yeyote anayedhani atalirudisha taifa hili lilikotoka kwa tamaa za wahuni wachache anajidanganya na anacheza na moto. Mungu ameukataa huu utawala, hata mvua anainyima nchi. Huyo Nyape wala asiumize watu vichwa soon atasahaulika kabisa kama aliwahi kuwa mwanasiasa kwenye nchi hii, hii inaenda kwa wale wenzie wanaojihisi ni wasiogusika. Kama alivyosema mwenyewe, "Mungu ameamua ugomvi" na itakua!
 
Wewe ndio huna hela ya kutosha ya kuongeza bando Nape hana habari na hilo
Hata Kama pesa ipo , ndo iwe ya sababu ya wizi wa wazi KWa makampuni aya chini ya backup ya wahuni wachache,

Kama aya makampuni hawawezi kutii serikali ,si waondoke, Kama ni ngum pia why Nape Kama waziri na wizara yake wasije na Mkakati wa haraka wa kuboresha shirika letu la TTCL, Ili lilete ushindani wenye tija na tuone Kama kweli aya makampuni yataendelea na ujinga wa namna hii

Watu wanapewa vyeo KWa thanks ndo maana tunaona Mambo ya ajabu ya namna hii, Kama sio thanks huwezi kalia office ya uma na kufanya Mambo ya ajabu ya namna hii,

Je sio kweli kwamba ikitokea sim ya NAPE ikakaguliwa haitakutwa na mawasiliano ya ajabu na ma co wa haya makampuni?

Nape ondoka kiti ichi
 
Kama aya makampuni hawawezi kutii serikali ,si waondoke, Kama ni ngum pia why Nape Kama waziri na wizara yake wasije na Mkakati wa haraka wa kuboresha shirika letu la TTCL, Ili lilete ushindani wenye tija na tuone Kama kweli aya makampuni yataendelea na ujinga wa namna hii
Sasa makampuni hayatii serikali wakati Nape ni mwana serikali?
 
Kupeana fadhila ndo umekuwa mzigo mkubwa kwa wananchi.
 
Sitoandika mengi hapa kwako Nape,

Yani vifurushi leo unakuja na lugha laini ila ikipita miezi kadhaa wazunguka huko huko huenda kutekeleza malengo yako, maana mmeishajua mwenye nchi wasahaulifu, watapiga kelele, ila nyie mwala mema ya nchi, hivi mwafikili hizi pesa za dhuluma mtazikwa nazo kaburini.

Tunajua hakuna kiongozi wa Taifa hili asietumia simu, so wewe umekaa hapo ofisi unapoamua jinunulia kifulushi KWa matumizi yako binafsi huoni uhuni wafanyapo hawa ndugu zako wa mitandao ya simu? Jibu hapa.

Yapo mambo magumu kutrace ila sio kwenye vifurushi, moja ya huduma unayotumia kila siku, na Kama hujui hayo ni matatizo binafsi ya kwako.

Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho, asema Bwana!
Wewe unapendwa na Wananchi na Mungu?
 
Baba yake alikua mtu maarufu sana hapa Nchini hawezi ondoka maana baba yake akisikia atakasirika.
 
Wizara niliyonaayo ni kubwa kuliko wizara yoyote hapa Duniani, ila nasema nyie mnaopewa wizara za chini fanya kazi , malipo utapata mengi hata bila ibia wenye nchi, umeelewa Nape ,Sina ugonvi na wewe ila nina ugonvi na dhamana uliyopewa
Jitokeze basi upewe Wizara kwa kigezo cha kupendwa.
 
Sio Nyape peke yake, yeyote anayedhani atalirudisha taifa hili lilikotoka kwa tamaa za wahuni wachache anajidanganya na anacheza na moto. Mungu ameukataa huu utawala, hata mvua anainyima nchi. Huyo Nyape wala asiumize watu vichwa soon atasahaulika kabisa kama aliwahi kuwa mwanasiasa kwenye nchi hii, hii inaenda kwa wale wenzie wanaojihisi ni wasiogusika. Kama alivyosema mwenyewe, "Mungu ameamua ugomvi" na itakua!
Noted ✍️
 
Back
Top Bottom