Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
Wazee wa kuupiga Mwingiiiiiiiiiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Kama pesa ipo , ndo iwe ya sababu ya wizi wa wazi KWa makampuni aya chini ya backup ya wahuni wachache,Wewe ndio huna hela ya kutosha ya kuongeza bando Nape hana habari na hilo
Sasa makampuni hayatii serikali wakati Nape ni mwana serikali?Kama aya makampuni hawawezi kutii serikali ,si waondoke, Kama ni ngum pia why Nape Kama waziri na wizara yake wasije na Mkakati wa haraka wa kuboresha shirika letu la TTCL, Ili lilete ushindani wenye tija na tuone Kama kweli aya makampuni yataendelea na ujinga wa namna hii
Wewe unapendwa na Wananchi na Mungu?Sitoandika mengi hapa kwako Nape,
Yani vifurushi leo unakuja na lugha laini ila ikipita miezi kadhaa wazunguka huko huko huenda kutekeleza malengo yako, maana mmeishajua mwenye nchi wasahaulifu, watapiga kelele, ila nyie mwala mema ya nchi, hivi mwafikili hizi pesa za dhuluma mtazikwa nazo kaburini.
Tunajua hakuna kiongozi wa Taifa hili asietumia simu, so wewe umekaa hapo ofisi unapoamua jinunulia kifulushi KWa matumizi yako binafsi huoni uhuni wafanyapo hawa ndugu zako wa mitandao ya simu? Jibu hapa.
Yapo mambo magumu kutrace ila sio kwenye vifurushi, moja ya huduma unayotumia kila siku, na Kama hujui hayo ni matatizo binafsi ya kwako.
Sasa nakuamuru na sio ombi, achia kiti hicho Mara moja, huna Sababu ya kukalia kiti hicho, asema Bwana!
Sijibu watu wadogo Kama wewe ,Wewe unapendwa na Wananchi na Mungu?
Shida ni nafasi za thanksSasa makampuni hayatii serikali wakati Nape ni mwana serikali?
Kwani wewe unapendwa na Mungu na watu?Sijibu watu wadogo Kama wewe ,
Inasemekana wala yule si baba yakeBaba yake alikua mtu maarufu sana hapa Nchini hawezi ondoka maana baba yake akisikia atakasirika.
Ndiyo uliza swali lingine ujibiwe, Kama wewe ndo Nape tekeleza agizo bila shuruti wenda ukapata makubwa badaeKwani wewe unapendwa na Mungu na watu?
Mh. Hii mpya hii.Inasemekana wala yule si baba yake
Jitokeze basi upewe Wizara kwa kigezo cha kupendwa.Ndiyo uliza swali lingine ujibiwe, Kama wewe ndo Nape tekeleza agizo bila shuruti wenda ukapata makubwa badae
Jitokeze basi upewe Wizara kwa kigezo cha kupendwa.
Noted ✍️Sio Nyape peke yake, yeyote anayedhani atalirudisha taifa hili lilikotoka kwa tamaa za wahuni wachache anajidanganya na anacheza na moto. Mungu ameukataa huu utawala, hata mvua anainyima nchi. Huyo Nyape wala asiumize watu vichwa soon atasahaulika kabisa kama aliwahi kuwa mwanasiasa kwenye nchi hii, hii inaenda kwa wale wenzie wanaojihisi ni wasiogusika. Kama alivyosema mwenyewe, "Mungu ameamua ugomvi" na itakua!
😂😂😂Inasemekana wala yule si baba yake