feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Kadri siku zinavyosogea ndivyo chuki yangu inaongezaka kwa CCM hakika hawa watu ni watu wahovyo sana hawafai kwenye maisha yetu hata chembe....Samia ni mmoja wa marais wa hovyo waliopita Tanzania mbaya zaidi anajificha katika kivuli cha uanamke.[emoji706][emoji706][emoji706].
NB:Haya yote yanatokea kwa sababu ya upuuzi wa watanzania tulio wengi nchi yetu lakini kila kitu tuna hisani ya CCM.
NB:Haya yote yanatokea kwa sababu ya upuuzi wa watanzania tulio wengi nchi yetu lakini kila kitu tuna hisani ya CCM.