Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Wafuasi wa hayati wanachukia watu wakipewa haki zao!
Maadui wa hayati wanafurahi hili si kwa sababu ya kutendeka haki ila ni kwa sababu linafanya hayati aonekane hakuwa sahihi alikuwa muovu hilo huwapa furaha nafsi zao, hawajali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu gani wala nini.
 
Maadui wa hayati wanafurahi hili si kwa sababu ya kutendeka haki ila ni kwa sababu linafanya hayati aonekane hakuwa sahihi alikuwa muovu hilo huwapa furaha nafsi zao, hawajali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu gani wala nini.
Sasa ulitaka serikali ya mama nayo ichikichie fedha za watu?

Dhulma siyo nzuri.
 
Sasa ulitaka serikali ya mama nayo ichikichie fedha za watu?

Dhulma siyo nzuri.
Kama hatujali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu upi basi dhulma itakuwa inaendelea, kuna hoja humu ya kwamba kama hizo pesa ziliporwa tu bila kuhesabiwa ni utaratibu gani unatumika kuwarudishia? Ila naona watu wanafurahia kuwaumiza sukuma gang.
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".


Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?

Hata hivyo Nape ni mtu bogus sana na bado ana kinyongo na kutumbuliwa wakati ule. Yeye anatangaza habari hii kama Waziri wa fedha?
 
Unajuaje kama alisha attempt resignation? Ulitaka utangaziwe?
[emoji119][emoji119][emoji119]
tapatalk_1569352883845.gif
 
Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?

Hata hivyo Nape ni mtu bogus sana na bado ana kinyongo na kutumbuliwa wakati ule. Yeye anatangaza habari hii kama Waziri wa fedha?
Tuliza hasira ndugu na ni vyema ukapata kikombe cha maji kwanza.

Naona unatoka lile kundi maarufu la sukuma gang maana ndiyo mliofurahia tunyang'anywe fedha zetu na mjomba wenu.

Sasa hivi mtawala tulie naye ni mcha Mungu asiyehitaji dhuluma kama ndugu yenu jiwe.
 
Tuliza hasira ndugu na ni vyema ukapata kikombe cha maji kwanza.

Naona unatoka lile kundi maarufu la sukuma gang maana ndiyo mliofurahia tunyang'anywe fedha zetu na mjomba wenu.

Sasa hivi mtawala tulie naye ni mcha Mungu asiyehitaji dhuluma kama ndugu yenu jiwe.
Naona wewe pia una matatizo hayo hayo. Matumizi ya hela za serikali huidhinishwa na Bunge kama hujui; ndiyo maana kuna kikao cha Bajeti. Malipo ya wafanyakazi wa Jumuia ya Afrika Mashariki waliokuwa wanaidai serikali yalipitishwa na bajeti ya mwaka 2009 wakati wa Kikwete, siyo kuwa yalitolewa kienyeji tu. Ni vivyo hivyo kama kuna malipo ya fidia kwa waliodhulumiwa mali zao na serikali yatapitishwa na kikao cha bajeti, hayatolewi kienyeji, na kunatakiwa kuwe na accounting ya kujua walidhulimwa kiasi gani. Vinginevyo kila mtu atatunga namba zake tu kuwa alidhumumiwa bilioni kadhaa kumba alikuwa amedhulumiwa labda milioni 10 tu.
 
Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?

Hata hivyo Nape ni mtu bogus sana na bado ana kinyongo na kutumbuliwa wakati ule. Yeye anatangaza habari hii kama Waziri wa fedha?
Hapa hatuangalii ubogus wa mtu au maumiv ya kutumbuliwa! Bali tunaangaliana ukwel wa anayosema!
 
Hapa hatuangalii ubogus wa mtu au maumiv ya kutumbuliwa! Bali tunaangaliana ukwel wa anayosema!
Kukosekana kwa ukweli wa anayosema ndio ubogus wenyewe. Angesema kuwa katika bajeti ya mwaka huu serikali imetenega kiasi kdhaa kufidia waliodhulumiwa angeonekana mkwelie kuliko kusema kuwa serikali imewalipa fidia kimya kimya from nowhere. Yeye siyo Waziri wa fedha, wala wizara yake haihusiki kabisa na malipo hayo.
 
Back
Top Bottom