Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Hujui Afrika mtawala anakuwa na washauri lukuki,lakini badala ya kumshauri,yeye ndiye anayewashauri.
Unamshaurije mtu anayetamba kuwa yeye hashauriki wala haambiliki.
Labda kama hujipendi na uko tayari kuface consequences.
Kama kweli hukubaliani naye unapaswa ujiuzulu kama alivyofanya Mtei mwanzoni mwa miaka ya themanini alipojiuzulu uwaziri baada ya kutokubaliana na sera za Nyerere, hivyo Samia ni mnafiki tu hana lolote.
 
Kwa staili hii utasema hata benki zifungwe tutumie BOT pekee!! Money laundering haitegemei bureau pekee unaweza fanya transfer pricing tu ukahamisha matrilioni kisiri Siri au ukanunua assets kwa bei ya juu kuliko kawaida Ili kuhamisha pesa nje.

Tuache hizi mistrust juu ya private sector kuwa ni wezi tu, uchumi hauwezi kukua kwa style hiyo.
Uraisi wa kufanya money laundring ni kupitia bureua
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".

Sasa pesa ishaingia kwenye mzunguko wa kiserikali unatoa tena kuwapa watu kama unatoa zawadi ya krismass kwa wanao tutapa hela kweli...!!??
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".


Safi sana Mama anaupiga mwingi kwenye usimamizi wa haki kila kilichofanywa kinyume na sheria Rais Samia Suluhu anarekebisha we are so proud of her
 
Angejiuzulu, rejea alichofanya Mtei mwanzoni mwa miaka ya themanini alipojiuzulu uwaziri baada ya kutokubaliana na sera za Nyerere kwa IMF na WB.
Je hata resignation yake kama alihitaj ungetangaziwa? Mamb mengine protocol haziruhusu
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".


Sisi tuendelee tu kuangalia kwa macho, na kusikia kwa masikio. Afrika mizaha ni mingi ndiyo maana watu hawana nidhamu
 
Safi sana Mama anaupiga mwingi kwenye usimamizi wa haki kila kilichofanywa kinyume na sheria Rais Samia Suluhu anarekebisha we are so proud of her
Kama tuna Rais ambaye ubora wake unapimwa kwa kurekebisha tu makosa yaliyofanywa na mtangulizi wake basi bado hatujapata kiongozi bora, Lissu anasema hadi sasa Samia kafanya mambo mepesi sana wala havimuhitaji kubadili sheria hivyo bado sana.

Maovu ya Magufuli isiwe ndio kipimo cha uovu kwa viongozi wengine, maovu ya Magufuli hayafanyi wengine kuwa malaika.
 
Back
Top Bottom