Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Ishu ya mwangosi waliotenda kosa walifikishwa mahakamani. Ila Ben Saanane hata kucha yake hakuna anayejua iko wapi!Pia kuna Mwandishi Mwangosi sijui familia yake kama iliwahi futwa machozi tangu 2013
Maadui wa hayati wanafurahi hili si kwa sababu ya kutendeka haki ila ni kwa sababu linafanya hayati aonekane hakuwa sahihi alikuwa muovu hilo huwapa furaha nafsi zao, hawajali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu gani wala nini.Wafuasi wa hayati wanachukia watu wakipewa haki zao!
Sasa ulitaka serikali ya mama nayo ichikichie fedha za watu?Maadui wa hayati wanafurahi hili si kwa sababu ya kutendeka haki ila ni kwa sababu linafanya hayati aonekane hakuwa sahihi alikuwa muovu hilo huwapa furaha nafsi zao, hawajali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu gani wala nini.
Kama hatujali hizo pesa zinarudishwa kwa utaratibu upi basi dhulma itakuwa inaendelea, kuna hoja humu ya kwamba kama hizo pesa ziliporwa tu bila kuhesabiwa ni utaratibu gani unatumika kuwarudishia? Ila naona watu wanafurahia kuwaumiza sukuma gang.Sasa ulitaka serikali ya mama nayo ichikichie fedha za watu?
Dhulma siyo nzuri.
Hilo hukuti kuzungumziwa.Nadhani mpaka madawa ya kulevya ni kama ruksa
Jiwe alishatwaliwa na wewe ukitaka saga chupa umfuateWe ng'ombe utaishi milele? Acheni kiburi cha uzima
Kama vile ukoo wenu haujatengeza makaburi.Kazikwe pembeni ya kaburi lake
Ok.
Angejiuzulu!Angemfanyaje? Rais ndie tha last word!! Kulingana na katiba
Unajuaje kama alisha attempt resignation? Ulitaka utangaziwe?Angejiuzulu!
Very easy [emoji108]Angejiuzulu!
Kilizo niumiza ni ile siku alienda ikulu kumpigia magoti JiweUnajuaje kama alisha attempt resignation? Ulitaka utangaziwe?
Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
[emoji119][emoji119][emoji119]Unajuaje kama alisha attempt resignation? Ulitaka utangaziwe?
Tuliza hasira ndugu na ni vyema ukapata kikombe cha maji kwanza.Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?
Hata hivyo Nape ni mtu bogus sana na bado ana kinyongo na kutumbuliwa wakati ule. Yeye anatangaza habari hii kama Waziri wa fedha?
Naona wewe pia una matatizo hayo hayo. Matumizi ya hela za serikali huidhinishwa na Bunge kama hujui; ndiyo maana kuna kikao cha Bajeti. Malipo ya wafanyakazi wa Jumuia ya Afrika Mashariki waliokuwa wanaidai serikali yalipitishwa na bajeti ya mwaka 2009 wakati wa Kikwete, siyo kuwa yalitolewa kienyeji tu. Ni vivyo hivyo kama kuna malipo ya fidia kwa waliodhulumiwa mali zao na serikali yatapitishwa na kikao cha bajeti, hayatolewi kienyeji, na kunatakiwa kuwe na accounting ya kujua walidhulimwa kiasi gani. Vinginevyo kila mtu atatunga namba zake tu kuwa alidhumumiwa bilioni kadhaa kumba alikuwa amedhulumiwa labda milioni 10 tu.Tuliza hasira ndugu na ni vyema ukapata kikombe cha maji kwanza.
Naona unatoka lile kundi maarufu la sukuma gang maana ndiyo mliofurahia tunyang'anywe fedha zetu na mjomba wenu.
Sasa hivi mtawala tulie naye ni mcha Mungu asiyehitaji dhuluma kama ndugu yenu jiwe.
Mkuu hii nimejibu hoja ya juu ya makamo wa Rais awamu ya tano, kua why kama kulikua kunatokea haya asijiuzulu?Kilizo niumiza ni ile siku alienda ikulu kumpigia magoti Jiwe
Hapa hatuangalii ubogus wa mtu au maumiv ya kutumbuliwa! Bali tunaangaliana ukwel wa anayosema!Bajeti ipi iliyotoa fungu hilo; ya mwaka huu bado haijatangazwa, au itakuwa mwaka huu ndipo watalipwa?
Hata hivyo Nape ni mtu bogus sana na bado ana kinyongo na kutumbuliwa wakati ule. Yeye anatangaza habari hii kama Waziri wa fedha?
Kukosekana kwa ukweli wa anayosema ndio ubogus wenyewe. Angesema kuwa katika bajeti ya mwaka huu serikali imetenega kiasi kdhaa kufidia waliodhulumiwa angeonekana mkwelie kuliko kusema kuwa serikali imewalipa fidia kimya kimya from nowhere. Yeye siyo Waziri wa fedha, wala wizara yake haihusiki kabisa na malipo hayo.Hapa hatuangalii ubogus wa mtu au maumiv ya kutumbuliwa! Bali tunaangaliana ukwel wa anayosema!