Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Jiwe alifanya ujambazi kwa kutumia madaraka yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kweli kulikuwa na proper documentation ya fedha zilizochukuliwa , vifaa, docs etc etcWameruhusiwa ila vigezo vyawabana ndio maana Kadoo kafungua Bureau zaidi ya 20
Kuna mtu niliwahi kukaa nae Arusha alikua na bureau, alinipa mkasa mzima
Aisee Hio siku walipofungua bureau zilikuja defender na 'vyuma' yaani walichukua pesa zote hata coin haikubaki, na katika askari waliotelekeza amri hii na kupeleka...
Hicho na nachowaza, fedha ziliporwa Wala sio kwamba walizihesabi wakakabidhianaKama hazikuwa na hesabu wakati zinachukuliwa, basi zinavyorudishwa pia zinakuwa hazina hesabu. Hivyo tena kuna kikundi cha watu kinajinufaisha na maburungutu yasiyo na hesabu.
Kuwa kiongozi kwa wizi wa kura nayo ni sifa? Hata hivyo sijawahi kutamani kuwa kiongozi, hivyo kwangu sioni kama ni jambo la maana sana. Labda kwako kuwa kiongozi kwa wizi wa kura ni kitu cha maana.Bahati ya mtu usiionee donge wewe usiyekua mkora haujawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Mmebaki kuongozwa na gaidi
... Bora Serikali imekiri rasmi kwamba watu walionewa utawala uliopita. Yule mtu sio wa kuadhimishwa kama wafuasi wake wanavyotaka; alishapewa heshima yake mwaka wa kwanza yamepita; mengine yabaki ya kifamilia na chawa wake BICHWA KOMWEE, et. al.Waziri Nape Nnauye akiws katika kongamano la miaka 2 ya Rais Samia, amesema Rais amewafuta machozi watu wengi walioonewa na utawala uliopita.....
Kuwa kiongozi kwa wizi wa kura nayo ni sifa? Hata hivyo sijawahi kutamani kuwa kiongozi, hivyo kwangu sioni kama ni jambo la maana sana. Labda kwako kuwa kiongozi kwa wizi wa kura ni kitu cha maana.
Ndio maana tunataka tume huru ili tusilalamike na nyie mshinde kihalali. Hofu yenu ya tume huru ni ipi wakati mnaamini kuwa huwa mnashinda?Uchaguzi upi hamkulalamika kuibiwa kura?
Hakuna anayekomolewa. Ni utu tu unafanyikaKasi ya kumkomoa Hayati si ya kitoto
Hakuna anayekomolewa. Ni utu tu unafanyika
Ndiyo maana mpaka leo dola haikupanda sana. Ila subiri sasa hivi dola itafika 5000 by 2025. Uchumi na maendeleo vinahitaji roho ngumu na kujitoa.Kuna mtu niliwahi kukaa nae Arusha alikua na bureau, alinipa mkasa mzima
Aisee Hio siku walipofungua bureau zilikuja defender na 'vyuma' yaani walichukua pesa zote hata coin haikubaki, na katika askari waliotelekeza amri hii na kupeleka pesa...
Tena thamani ya hela yetu itaporomoka sana1. Thamani ya Tshs itashuka 2. Watu watatakatisha pesa zao kwa amani 3. Ugaidi utaibuka tena pale Kibiti.
Ukweli wanaujua vizuri sana kuwa CCM haitakiwi.Ndio maana tunataka tume huru ili tusilalamike na nyie mshinde kihalali. Hofu yenu ya tume huru ni ipi wakati mnaamini kuwa huwa mnashinda?
Upigaji mwingine unaendelea hapo.Waziri Nape Nnauye akiws katika kongamano la miaka 2 ya Rais Samia, amesema Rais amewafuta machozi watu wengi walioonewa na utawala uliopita....