Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Legasi kwisha !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia kuna Mwandishi Mwangosi sijui familia yake kama iliwahi futwa machozi tangu 2013●Baba na Mama wa Ben sanane wanafutwaje machozi?
●Familia ya Aziron Gwanda nae anafutwaje machozi?
Rest in peace Aziron Ben sanane
Hamna mtu amedhibitiwa ni suala la muda mtaona jinsi Mama yenu anavyotembelea kamba nyembamba.Ule ukanda ushadhibitiwa na kambi ishawekwa kubwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sisi walinda legacy tutaendelea kuteseka Sana Kwa style hii
Sa100 anarudisha mazingira yaliouleta mara ya kwanza chini ya JK.Kwanini ugaidi utaibuka tena mkuu?
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kilichotokea mwaka 2021 pili nishukuru kwa mama Samia kuwa na roho ya kibinadamu.Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Wacha upumbavu na wivu wa kijinga yaani wewe ulifaidika na nini watu kunyang'anywa frdha zao kijambazi?Kujitakasa kumepitiliza kipimo
Mama siyo sheitwani kama aliyekuwepoDuuuu kwel siasa si mchezo
Tulishakufa kimawazo kabisa lkn sasa mama katenda yampasayo kutenda binadamu mwenye hofu ya Mungu.Kama zilichukuliwa isivyo halali, ni muhimu kuipongeza Serikali kwa kuwarudishia wahusika fedha zao.
Hakika ni wajibu wetu kupongeza panapostahili kupongeza.Samia na serikali yako yote mbarikiwe sana
Jiwe alikuwa mwiziZile pesa za bureau de change utakuta kazificha Cina.
Na huu ndio mpango waru watu wanapiga pesa tuKama hazikuwa na hesabu wakati zinachukuliwa, basi zinavyorudishwa pia zinakuwa hazina hesabu. Hivyo tena kuna kikundi cha watu kinajinufaisha na maburungutu yasiyo na hesabu.
Wanazidi kupigwa TKO kila kukichaSisi walinda legacy tutaendelea kuteseka Sana Kwa style hii
Heshimu mwalimu wako wa chekechea maana alikuchapa si ili uumie ila ujifunzeMama siyo sheitwani kama aliyekuwepo
Wapo wengi sio huyo tuSaid Lugumi sijarudishiwa nilichoporwa.
WANAOMSHABIKIA MAREHEMU NI MAREHEMU KWENYE UBONGO.HAWANA ABC YA MAMBO YA KIUCHUMI NA HATA YA KISIASA NA KIJAMIIDola sasa hivi ni Sh ngapi? Ni 2300 hiyo hiyo,
Shilingi ya Tanzania imeimarika zaidi dhidi ya fedha nyingine za nchi jirani Tangia Magufuli afariki
Mfano hii ni Shilingi ya Kenya iliyokua sh 22 dhidi ya Tz na sasa ni Sh 17
View attachment 2558898
Halafu Mkapa unamfananisha vipi na Magufuli? Mkapa alifanya privatization na kufungua nchi kwa wawekezaji na uchumi ukakua, Magufuli alikuwa anafanya kinyume, kuua mashirika binafsi na kufukuza wawekezaji
Mi nilisharudishiwa since June 2021Safi, na walioshushwa mishahara wao lini kurudishiwa mishahara yao
NJIA ALOTUMIA NI YA KIJAMBAZIKuna mtu niliwahi kukaa nae Arusha alikua na bureau, alinipa mkasa mzima
Aisee Hio siku walipofungua bureau zilikuja defender na 'vyuma' yaani walichukua pesa zote hata coin haikubaki, na katika askari waliotelekeza amri hii na kupeleka pesa bot wengi walitajirika maana kama unavyotujua wabongo huwezi kunipa maburungutu ya pesa ambayo hayana hesabu nikayafikisha yote
Ila Hawa watu nao walikua wanaibia taifa sana pesa na wengi walikua wanatakatisha sana pesa chafu, kiufupi walijisahau sana jiwe akaamua kuwapiga ambush kiroho mbaya,
Hii nchi watu hawaelewi tu, hakuna watu hawapendi kulipa Kodi kama matajiri, ukishaona mtu ana bilion kadhaa bank asimilia 90 ya hao watu ni janja janja nyingi tu na kuibia serikali mapato
Swala la kuwanyoosha Hawa matajiri waiba Kodi sijawahi kumpinga magufuli japokua nilikua simkubali, ila la kudeal na Hawa wezi wa Kodi hapo Mzee nilimkubali
LAZIMA ZILIREKODIWA WALIPOKUWA WANAKABIDHI BOT, KAMA WALIZIPUNGUZA KAMA WALIVYOIBA BASI UTAREJESHEWWA HICHO KIDOGO NA KUMSHUKURU MUNGUHicho na nachowaza, fedha ziliporwa Wala sio kwamba walizihesabi wakakabidhiana
Sasa zinarudishwa sijui kwa mfumo upi, hapo lazima Kuna watu wanafaidika