Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Kwanza nimshukuru Mungu kwa kilichotokea mwaka 2021 pili nishukuru kwa mama Samia kuwa na roho ya kibinadamu.
 
WANAOMSHABIKIA MAREHEMU NI MAREHEMU KWENYE UBONGO.HAWANA ABC YA MAMBO YA KIUCHUMI NA HATA YA KISIASA NA KIJAMII
 
NJIA ALOTUMIA NI YA KIJAMBAZI
WALIOLENGWA NI KASIKAZINI:WHY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…