Kama kweli hukubaliani naye unapaswa ujiuzulu kama alivyofanya Mtei mwanzoni mwa miaka ya themanini alipojiuzulu uwaziri baada ya kutokubaliana na sera za Nyerere, hivyo Samia ni mnafiki tu hana lolote.Hujui Afrika mtawala anakuwa na washauri lukuki,lakini badala ya kumshauri,yeye ndiye anayewashauri.
Unamshaurije mtu anayetamba kuwa yeye hashauriki wala haambiliki.
Labda kama hujipendi na uko tayari kuface consequences.
Una hoja, usikilizwe●Baba na Mama wa Ben sanane wanafutwaje machozi?
●Familia ya Aziron Gwanda nayo inafutwaje machozi?
Rest in peace Brothers[emoji25][emoji25][emoji25]
Angejiuzulu, rejea alichofanya Mtei mwanzoni mwa miaka ya themanini alipojiuzulu uwaziri baada ya kutokubaliana na sera za Nyerere kwa IMF na WB.Angemfanyaje? Rais ndie tha last word!! Kulingana na katiba
wanamtetea mwenda siju wanasemajeMagufuli alikuwa gaidi.
Uraisi wa kufanya money laundring ni kupitia bureuaKwa staili hii utasema hata benki zifungwe tutumie BOT pekee!! Money laundering haitegemei bureau pekee unaweza fanya transfer pricing tu ukahamisha matrilioni kisiri Siri au ukanunua assets kwa bei ya juu kuliko kawaida Ili kuhamisha pesa nje.
Tuache hizi mistrust juu ya private sector kuwa ni wezi tu, uchumi hauwezi kukua kwa style hiyo.
Pole sanaHamna mtu amedhibitiwa ni suala la muda mtaona jinsi Mama yenu anavyotembelea kamba nyembamba.
Sasa pesa ishaingia kwenye mzunguko wa kiserikali unatoa tena kuwapa watu kama unatoa zawadi ya krismass kwa wanao tutapa hela kweli...!!??Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Safi sana Mama anaupiga mwingi kwenye usimamizi wa haki kila kilichofanywa kinyume na sheria Rais Samia Suluhu anarekebisha we are so proud of herKwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Hapo umejumlisha na tozoNyie mlidanganywa sana na yule jamaa.
Mfano Makusanyo ya TRA kipindi cha Magufuli yalikuwa trilioni 1.2, kipindi cha Samia ni trilioni 2.
Kukusanya kodi huhitaji kufanya uporaji wa kishamba kama ule
Hakika mkuuSafi sana Mama anaupiga mwingi kwenye usimamizi wa haki kila kilichofanywa kinyume na sheria Rais Samia Suluhu anarekebisha we are so proud of her
Je hata resignation yake kama alihitaj ungetangaziwa? Mamb mengine protocol haziruhusuAngejiuzulu, rejea alichofanya Mtei mwanzoni mwa miaka ya themanini alipojiuzulu uwaziri baada ya kutokubaliana na sera za Nyerere kwa IMF na WB.
Umetumia kigezo gani kuni-mention hapo.?Kwako Oxpower, MISULI, Holly Star, cotyledon, TikTok2020, Mbaga Jr, deina, Hassan Mambosasa, dr namugari, Beemind, KimpaGhasha na team nzima, Hamuoni kuwa JPM alivuruga nchi?
Sisi tuendelee tu kuangalia kwa macho, na kusikia kwa masikio. Afrika mizaha ni mingi ndiyo maana watu hawana nidhamuKwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Kama tuna Rais ambaye ubora wake unapimwa kwa kurekebisha tu makosa yaliyofanywa na mtangulizi wake basi bado hatujapata kiongozi bora, Lissu anasema hadi sasa Samia kafanya mambo mepesi sana wala havimuhitaji kubadili sheria hivyo bado sana.Safi sana Mama anaupiga mwingi kwenye usimamizi wa haki kila kilichofanywa kinyume na sheria Rais Samia Suluhu anarekebisha we are so proud of her
We ng'ombe utaishi milele? Acheni kiburi cha uzimaSiyo kujitakakasa. Jiwe alikuwa mporaji, mwizi muuaji na mtekaji. Ndiyo maana kafa
Jiwe kawahi kwasabb alikuwa muovuWe ng'ombe utaishi milele? Acheni kiburi cha uzima