Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Hakuna chochote covid-19 iyo imemtoa roho. Anafit criteria zote za watu waliokuwa hatarini na maambukizi ya covid. Ni mtu mzima, ana maradhi ya moyo ukiunganisha na changamoto ya covid ni safari.
 
Uwashauri waanze na tume ya kuchunguza waliotaka kumuua Tundu Lisu pia tume hiyo Ichunguze kifo cha Mawazo,Ben Saanane,Azory na tuje kwenye kifo cha Hayati.
 
hata mochwari kuna miili, na penyewe tuanzishe tume..

embu mwache mama kwanza afanye kazi..

kwann hukuanzisha huu uzi kipindi cha magu, kuhusu akina azory, ben na miili kwny sandarusi?

yy hakuunda tume ya vifo vyenye utata, why unamshinikiza mama aanze?
Mauji ya kwenye viroba hayajaisha huo ni ushaid kua Hayat watu walimtakia mabaya kwa maslai yao
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.



E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Watanzania wana sintofahamu nyingi sana....
2. Hivi n nani aliyempiga vyuma aliyekuwa anadinda mbele ya makinda?
1. Ni nani aliyepelekea kifo cha hayati?

Na mengine mengiiiii.....

Nafikiri majibu yanayohusiana na kutoauhai wa mtu Mungu huyajibu kwa muhusika.....
 
Mboam isiundwe kwanza tume ya kuchunguza walimshambulia Lissu
Sio Lissu pekee, wengine mbona hamuwataji?

Lissu arejee na dereva wake kisha watu muanze kufunguka kama mlivyofanya kwa Ole Lengai Sabaya kwa maandishi na video mlizo nazonazo mmezificha.
 
Ikiundwa tume na ikifanya kazi kwauwazi na ukweli majibu yatakuwa: Alikufa kwa corona na serikali ikaamua kuficha ukweli kuondoa aibu.
Majibu yakitoka hivyo hatua inayofuata ni kumtaka dakatari aliyetoa ripoti hiyo na yule aliyetangaza kuwajibika kwa kujaribu kuficha ukweli wakati ugonjwa wa aina yoyote sio aibu.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Alikufa kwa korona full stop. Mwacheni aendelee kutumikia hukumu yake huko aliko!
 
lete ushahidi kuwa mauwaji kwny viroba yapo, or unless mnayaanzisha ili kumsafisha na kumpakazia mama wa watu
Hujaskia kua Kuna raia wawil wasio na hatia wameuawa na kutupwa ifadhin pia vip yule wa arusha alie tupwa barabaran na albino asie na hatia? Siwalaum nyie kumzushia marehem kua alikua muuaji sababu kashfa za uongo pekee ndio ziliweza kumteteresha ila kwenye point zote za ukwel aliwapiga roba
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Watanzania wengi? Hao watanzania wengi ni akina nani?

Wenye akili, sote tunajua marehemu kafariki kwa tatizo la moyo lililokuwa activated na corona. Kwa kifo ambacho ni dhahiri kiasi hiki, hakuna haja ya uchunguzi.

Siyo kila porojo hufanyiwa uchunguzi
 
Back
Top Bottom