Umeharibu hapo kwa wasipuuzwe wanaodai hivyo! Ni kina Nani hao? Na hiki wanachodai kina maslahi gani kiuchumi?Hoja inaungwa mkono na ishirikishe watalaamu wafuatao bila kuchomeka mwanasiasa au mwanaharakati wa aina yoyote
1. Cybercrime/Cyber-security & IT/Ethical Hacking (Forensics)
2. Madaktari bingwa wa mifumo ya umeme wa moyo (pacemaker operative & troubleshooting experts) na human anatomy
3. Wanasheria
4. Wanausalama
5. Majaji wabobezi
6. Wapelelezi wasio na mfungamano na upande wowote
NB: Bunge, Mahakama na Serikali wasubiri matokeo yake kwa uchambuzi na utekelezaji.
Wanaotoa madai haya wasipuuzwe kwa kuwa ni kutengeneza bomu kubwa sana ambalo kulipika kwake unaweza kupelekea utawala ulipo kuja kushitakiwa baadae kwa kukwamisha sauti za wananchi kusikilizwa kwa kuwa hawajavunja sheria yoyote.
Hii so sawa kwani utakuja kuleta query kwa cag kwani zitahitajika fedha za walipa Kodi ambazo zitakuwa zimefanya kazi isivyokuwa na tija!
Mbwa kulibwekea Basi linalokwenda hasimamishi Safari ya Basi Hilo! Waache mbwa wabweke lakini Safari inaendelea! Sio haha Wala sababu za uchunguzi wa kazi ya Muumba kwani iliandikwa kuwa kila nafsi itarudi kwa Muumba! Ya Nini kuhoji?