Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Hoja inaungwa mkono na ishirikishe watalaamu wafuatao bila kuchomeka mwanasiasa au mwanaharakati wa aina yoyote
1. Cybercrime/Cyber-security & IT/Ethical Hacking (Forensics)
2. Madaktari bingwa wa mifumo ya umeme wa moyo (pacemaker operative & troubleshooting experts) na human anatomy
3. Wanasheria
4. Wanausalama
5. Majaji wabobezi
6. Wapelelezi wasio na mfungamano na upande wowote

NB: Bunge, Mahakama na Serikali wasubiri matokeo yake kwa uchambuzi na utekelezaji.

Wanaotoa madai haya wasipuuzwe kwa kuwa ni kutengeneza bomu kubwa sana ambalo kulipika kwake unaweza kupelekea utawala ulipo kuja kushitakiwa baadae kwa kukwamisha sauti za wananchi kusikilizwa kwa kuwa hawajavunja sheria yoyote.
Umeharibu hapo kwa wasipuuzwe wanaodai hivyo! Ni kina Nani hao? Na hiki wanachodai kina maslahi gani kiuchumi?
Hii so sawa kwani utakuja kuleta query kwa cag kwani zitahitajika fedha za walipa Kodi ambazo zitakuwa zimefanya kazi isivyokuwa na tija!
Mbwa kulibwekea Basi linalokwenda hasimamishi Safari ya Basi Hilo! Waache mbwa wabweke lakini Safari inaendelea! Sio haha Wala sababu za uchunguzi wa kazi ya Muumba kwani iliandikwa kuwa kila nafsi itarudi kwa Muumba! Ya Nini kuhoji?
 
Siwezi ingia hapa kuweka mambo binafsi ya familia, maswala ya familia umalizwa kifamilia. Na sijaongelea maswala ya kifamilia.
Naongelea maswala ya kitaifa. Alie kufa ni Rais wa Jamhuri ya muungano. Alilipwa mshahara na kutunzwa kwa kodi za watanzania. Kikubwa alikuwa mzalendo wa Taifa hili. Uchunguzi wa kifo chake ni muhimu. Kinakuuma nini uchunguzi ukifanyika?
Hatuhitaji uchunguzi. Nchi inakwenda mbele msiturudishe nyuma tena. He'se gone and never come back again
 
Nad
Ulichoongea ni propaganda na kama ni ukweli Amiri jeshi mkuu wamuue halafu jeshi likae kimya tu inamaana limeona ni sawa kwa maslahi ya taifa. Either way hii mada haina maana.
Uuwaji unatofautiana, ndo maana kunahitajika Tume huru ili kuchunguza. Mara ngapi marais au viongozi wakubwa wameuwawa kisiri na jeshi likawa kimya? Marekani Rais Kennedy, aliuwawa tena wazi wazi, je jeshi lilifanya nini? Rais Karume aliuwawa Zanzibar mbele ya umati je jeshi lilifanya nini?
Kuna mauwaji ya siri na uwazi. Hivyo uchunguzi ni muhimu ili kujiridhisha.
Sasa wewe kudai jeshi lingefanya nini? Mfano Rais kama alipewa sumu hilo jeshi lilikuwepo kjua kapewa sumu?
Tunataka uchunguzi kuondoa utata uliopo. Mada ina maana na ni muhimu kwa maslahi ya nchi.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Kijana serikal imesha zika. Muache hayat apumzike.
Muda wa maombolezo kitaifa umeisha. sasa ni muda wa kazi
 
Mtaani JPM amefahamika kauwawa,

Mnakaa kwenye AC huku hamjui kinachoendelea sababu furaha yenu imepatkana mnasahau wananchi, sijui 2025 watawaangaliaje mtaani.
Mtaa upi unaongelea? serikal si ilishatoa statement ya kifo chake?

Oh kauwawa.. ukiambiwe udhibitishe na mamlaka husika utaweza?
 
Kwa sababu alikuwa hashauriki na kila kitu alitaka afanye mwenyewe mpaka kufukia Kula mahind ya kuchoma barabarani wakat ni hatar kiusalama basi hakuna haja ya time maana hata matukeo yakija ya namna gani hakuna wa kumlaum zaid ya Marehem mwenyewe.
 
Naunga mkono hoja! Halafu Luhaga Mpina awe Mwenyekiti na Biswalo Mganga awe Makamu wake!

Livingstone Lusinde awe Mjumbe, Joseph Kasheku Msukuma awe Mjumbe, Ole Sabaya awe Mjumbe, Chalamila awe Mjumbe, Jenister Mhagama awe Mjumbe, Tulia awe Mjumbe, na Phillipo Mpango awe ndiye mlezi wa hiyo Tume.
Bashiru je? hana nafasi humo kwenye tume?
 
JPM ndie alikuwa mwana ccm wa mwisho kuaminiwa na watanzania....
2025 wapinzani wajiunge wairudishe UKAWA naamini watashinda.
Wapinzani kuweni na nia moja punguzeni malumbano yenu!! This is a golden chance!!!
 
Well
Si wewe pekee uliefutiwa uzi wa aina hio humu nakumbuka kuna mshiriki mmoja alikuja na mada " Utata juu ya kifo cha Magufuli " pia waliufuta ule uzi, alielezea vyema sana na utata wenyewe uligusia kwenye ;

1. Hujuma katik kifaa cha pacemaker
2. Ujio wa wageni kutoka china
3. psu ndani ya psu

Au tutegemee kuna utata zaidi ambao haukuzungumwa hapo

Matukio yanayozalisha maswali ( ? ) ni mengi ikiwemo hilo taarifa za mgonjwa kuvuja hata kabla ya kifo na mbaya zaidi circle yake ( PM, Makamu, Wakuu wa mikoa nk ) haikua na taarifa na kama walipewa basi ni za uongo.

Hivi unadhani ni kweli Chalamila, Majariwa na Makamu walikua wanajua kuwa mzee amefariki ? ALAFU wao wakaamua tuu kusema yuko anapiga kazi ama yupo nimewasiliana nae. Inawezekana ?

Mbaya zaidi mtu tuu wa nje kabisa ya mfumo yuko full detailed na anatoa dhihaka juu ( Lema, Lissu na wengineo )

Mpaka taarifa za hayati kusafirshwa kwenda kenya walilijua and sishangai Kigogo kuwa na kibendera cha kenya kwenye account yake, hakipo kwa bahat mbaya

Kuna mambo mengi kweli yana leta utata.

Kuna umuhimu wa kuundwa Tume ituletee majibu, Lakin question comes what if they will lie ?
Mh.sana Lowassa hebu aje kuirudia Ile kaulimbiu yake ya elimu, elimu, elimu! Sijakutukana Bali nakuelekeza uisome hiyo Aya yako ya mwisho kuwa they will lie! Yaani unamtuma mtu field huku ukiwa na majibu ya ulichomtuma? Ulimtuma akafanyeje Sasa?
Kama una majibu tayari hata wangekuja na yanayofanana na ya kwako bado ungeyatilia Shaka na kuyakanusha!
Sasa uchunguzi utakuwa na manufaa gani zaidi ya kupoteza muda na rasilimali nyinginezo?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Vipi kuhusu watendaji wengine wa Ikulu waliofariki kabla ya JPM (Katibu mkuu Kiongozi, Waziri mambo ya nje nk)?
 
Tatizo walificha.
Hapo NDIPO tatizo lilianzia
Kuficha matukio ni kawaida kwa Serikali zenye mlengo wa kidikteta Ndio maana hata swala la corona walificha ukweli kwa madai ya kuzuia taharuki kwa wananchi. So hata kifo cha Nduli walificha kwanza ili kufanya maandalizi, hawakutegemea kama jamaa angekata moto ghafla
 
Yaaah na ndo wapiga kura halisi, pia wahudhuriaji kampeni, safari hii 2025 huyu mama atapiga kampeni sijui wapi na chama chake.

Ni heri aanze kusafisha kwa kutembelea wananchi.
Endelea kusubiri kama unategemea mama kuja kupiga kampeni chumbani kwako!!! Sisi wananchi wapiga kura tunamuelewa sana na tunasema mama mitano, mitano na mitano tena, ikiwezekana maisha kabisa.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Pimbi wewe mbona bado uchunguzi Ben saa8 na lissu
 
Wewe ni mpumbavu na mzandiki!

Kwanini walipokuwa wakitekwa watu na kuuawa ulikuwa hutaki tume huru ya kuchunguza matukio hayo?
Iundwe kwanza tume ya kuchunguza aliyemteka Ben saanane, Azor gwanda, waliomshambulia Mh Lisu, uchunguzi juu ya zile maiti zilizokuwa zinaonekana fukweni zikiwa kwenye viroba pamoja na mateso waliyokuwa wakipewa wafungwa wa kisiasa kipindi cha magufuli.
Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya mwingine! Kama ni uchunguzi tutaanza kwa namba...

Nyie watu acheni ubaguzi na kujiona wa muhimu kuliko mliokuwa mkiwapoteza
Umeandika vema sana kiongozi.
Uchunguzi ufanyike kwa wote waliodhulumiwa haki ya kuishi cause mbele ya Mungu na sheria hakuna aliye bora zaidi ya mwingine.
 
Back
Top Bottom