Ok, ndo tunataka kama aliuwawa na jeshi ijulikane. Iundwe tume. Ili kila kitu kijulikane. Porojo nyingi haziwezi saidia. Jeshi aliwezi ogopeka. hata wao ni binadamu, na wanachunguzwa. Kama jama zipo watajibu.
Fatilia mauaji ya alie kuwa Rais wa Bukinafaso, Sankara.
Aliuwawa na Mtu wake wa karibu, na baadhi ya waasi. Imepita miaka zaid ya thelathini. Rais aliekuwepo madarakani alie muuwa Sankara, aligoma uchunguzi usifanyike. Lakini baada ya kutoka madarakani, alishitakiwa na kuwekwa hatiani kwa mauwaji ya Rais Sankara zaidi ya miaka 37 iliyopita.
Leo mtapinga, lakini ipo siku haijarishi. Hata kama kuna watu jeshini waliusika ipo siku, itajulikana ukweli.