Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Bro mbona hapo kuhusu huo moshi mambo yako wazi tu,gari limepata itilafu alafu kahamia gari lingine nalo pia ni la kumtafuta mchawi?
 
JPM pia ana ndugu, ana mke na watoto, wewe ni nani wa kuipigania haki yake zaidi ya ndugu na watoto!!?? Una uhakika gani kama mke, ndugu na watoto hawajajiridhisha!!?? Unataka kutuambia umeumia zaidi ya mke na wanae!? Au we ndo Mama Jesca?
Umetoka usingizini JPM alikuwa ni Rais wa nchi ya Tanzania. uwezi mchukulia ukadhani ni familia kama yako nyumbani. Duuh! Inaonesha weye unahitaji elimu ndogo tu kujua Rais wa nchi ni nani? Na anawadhifa upi katka taifa.
 
Huyu sio kiongozi wa kwanza afrika kufa akiwa madarakani. Isiwe nongwa kifo chake wakati tumeshatangaziwa nini haswa kimetokea.

Umeshindwa kwenda Mzena Hospital ukapewa taarifa na madaktari waliomhudumia mpaka akakata roho?. Umeshafanya jitihada za kumtafuta daktari wake aliyekuwa karibu nae kwa muda wote wa urais wake?.

Umeshafanya upelelezi binafsi kujua kama alikuwa hanywi pombe licha ya kuwa na matatizo ya umeme wa moyo?.

Usiwe mwepesi wa kumnyooshea Rais wa sasa kidole bila ya kufanya kazi ya kufikiria mengi kwa kina.
Unajua nani anawajibu wa uchunguzi kwa mujibu wa sheria au unajiongelesha tu hapa kishabiki. Unajua taratibu za uchunguzi?
Rais wa Bukinafaso Sankara aliuwawa, unajua kilichofuatia baada ya miaka karibu 37? Jipeni moyo, wakati unaongea.
 
Uchunguzi haufanywi nami. Fahamu sheria za nchi yako zinasemaje juu ya uchunguzi wa kifo tata. Jisomee sheria kwa faida yako.
Kwani taarifa ya madaktari iliyotolewa na Mh. Rais hukuisikia? Chanzo cha kifo hukukisikia? Au kuna taarifa yako unataka kuisikia!!?? Kafanye kazi acha upu.mbavu.
 
Unajua nani anawajibu wa uchunguzi kwa mujibu wa sheria au unajiongelesha tu hapa kishabiki. Unajua taratibu za uchunguzi?
Rais wa Bukinafaso Sankara aliuwawa, unajua kilichofuatia baada ya miaka karibu 37? Jipeni moyo, wakati unaongea.
Sankara aliuwawa kwa bunduki. Huyu alikuwa mgonjwa tangu alipokuwa mbunge na pengine kabla ya hapo.

Umeshajiuliza ni kwanini hakupanda ndege kwenda Ulaya hata mara moja?. Fanya kazi ndogo tu kuliko kulialia hapa jukwaani.

Nenda hospitali ya Mzena na omba taarifa za kuugua mpaka kufa kwa mheshimiwa JPM. Mengine yote unayoyaandika ni hisia tu za jumla jumla.

Mimi na Wewe tutakufa hakuna aliyeandikiwa na Mungu maisha ya milele.
 
Umetoka usingizini JPM alikuwa ni Rais wa nchi ya Tanzania. uwezi mchukulia ukadhani ni familia kama yako nyumbani. Duuh! Inaonesha weye unahitaji elimu ndogo tu kujua Rais wa nchi ni nani? Na anawadhifa upi katka taifa.
Ok, kaunde tume ya vifo vya ma-Rais waliotangulia basi. Unajitia ujuaji na hujui lolote, serikali ina namna yake bora kabisa ya kuchunguza na kutoa taarifa na bahati nzuri taarifa ya chanzo cha kifo tumeshapewa, sijui unataka uchunguzi wa nini!!?? Kama umeumia sana nenda Chato kachunguze.
 
Ok, kaunde tume ya vifo vya ma-Rais waliotangulia basi. Unajitia ujuaji na hujui lolote, serikali ina namna yake bora kabisa ya kuchunguza na kutoa taarifa na bahati nzuri taarifa ya chanzo cha kifo tumeshapewa, sijui unataka uchunguzi wa nini!!?? Kama umeumia sana nenda Chato kachunguze.
Huyo ataendelea kulalama mpaka uzee umkute.
 
Umeharibu hapo kwa wasipuuzwe wanaodai hivyo! Ni kina Nani hao? Na hiki wanachodai kina maslahi gani kiuchumi?
Hii so sawa kwani utakuja kuleta query kwa cag kwani zitahitajika fedha za walipa Kodi ambazo zitakuwa zimefanya kazi isivyokuwa na tija!
Mbwa kulibwekea Basi linalokwenda hasimamishi Safari ya Basi Hilo! Waache mbwa wabweke lakini Safari inaendelea! Sio haha Wala sababu za uchunguzi wa kazi ya Muumba kwani iliandikwa kuwa kila nafsi itarudi kwa Muumba! Ya Nini kuhoji?
Mdanganye mwenye dhamana ya kusikiliza sauti za wananchi huku ukimng'ong'a


Sikiliza ni hivi

The investigation is vital to be conducted now before it is too late to conceal the truth behind the scene.

The Investigative Decision Making Entails the following

β€’ Establish that an offence has been committed, by who, when, how (to uphold the modus operandi details with lead highlights) and why or has not been committed.
β€’ Gather all available information, material, intelligence and evidence (The factual text must be substantially objective with details verified against records and pieces of information received from reliable and credible sources)
β€’ Act in the interests of justice without intimidation or coercion
β€’ Rigorously pursue all reasonable lines of enquiry.
β€’ Conduct a thorough investigation leaving no shadow of doubt to prove or disprove.
β€’ Identify, arrest and charge offenders.
β€’ Present all evidence to the prosecuting authorities for the case to be determined its dimensional impact on the community
*The investigation must adhere to the Golden Rule in investigation roles
A. Assume nothing
B. Believe nothing
C. Challenge and check everything (Check & Confirm in the balance of probability)

The leaders entrusted to govern for the interests of the people owes to do the following as a binding contractual obligation:
1. Listen to members of the public concerns and decisively find the right ways to address
2. Listen to citizens and take their concerns seriously with justice expectations
3. Investigations should be impartial and unbiased
4. Inspire confidence and provide reassurance
5. The investigation must be led under very strong confidentiality because at the
beginning nobody knows if the facts are true or not
4. Support with information, advice and guidance
5. Take ownership and record citizen concerns correctly to details
6. Explain what you shall do and why to prevent a recurrence
7. Notify the public of the findings and cause of action
Mimi si serikali, Ningekuwa serikali ningefanya. Nachoongelea hapa kwanini kumekuwa na utata, toka anaumwa ilifichwa. Matamshi ya kuambiwa tu na madaktari hatuhitaji. Kama walitundanganya wakati anaumwa, ni kipi tutaamini. Tunachotaka ni uchunguzi huru.
Kuambiwa tupeleke ushahidi, ni maneno matamu ya kutaka kuchunguzi usifanyike. Swala Rais aunde Tume huru, watu watakuwa huru kupeleka huo ushahidi.
Uwezi mwambia mtu apeleke ushahidi, bila huyu mtu kutojua apeleke wapi, na je usalama wake utakuwa vipi?
Swala unda tume huru uone kama watu hawatopeleka ushahidi.
Watanzania si watoto sasa kuelezwa kauli za kudanganywa na kutishiwatishiwa.
Kwanini CDM wamelalamika kuhusu DC wa hai kupitia mitandao na hatua zimechukuliwa haraka tena kwa barua rasmi lakini kwa hawa wanaohoji na kuomba uchunguzi ufanyike dhidi ya kifo cha JPM imekuwa nongwa? Kuna nini na kwa sababu gain?
 
Kwani taarifa ya madaktari iliyotolewa na Mh. Rais hukuisikia? Chanzo cha kifo hukukisikia? Au kuna taarifa yako unataka kuisikia!!?? Kafanye kazi acha upu.mbavu.
Upumbavu acha weye unae ongea bila kujua nini maana ya uchunguzi. Kwanini kuumwa kwa Rais kuligichwa? Leo ndo tunaambiwa kafa kwa matatzio ya moyo.
Ndo maana tunataka uchunguzi.
Pia uwe na ababu kama ukufundishwa adabu na wazazi wako. Na nikwambie tu mimi sitishwi na kutukanwa. Ni mtu wa misimamo. Kutukana kwako walaa hakunitishi au kunikatisha tamaa. Na mtu anae tukana anaonesha kaishiwa hoja. Na pia malezi yake alopata yana mushikheri.
 
Ok, kaunde tume ya vifo vya ma-Rais waliotangulia basi. Unajitia ujuaji na hujui lolote, serikali ina namna yake bora kabisa ya kuchunguza na kutoa taarifa na bahati nzuri taarifa ya chanzo cha kifo tumeshapewa, sijui unataka uchunguzi wa nini!!?? Kama umeumia sana nenda Chato kachunguze.
Kitendo cha kuwambia mtoa hoja kwamba aende Chato akachunguze, inathibitisha umetumwe kuja kuleta vitisho.

Mziki huu sio kidogo jidanganyeni na kadri siku zinavyoenda ndivyo moto utazidikupamba moto beyond control
 
Majority ya watanzania Wanaamini JPM aliuawa. Sema hakuna solid evidence na kwa kuwa wenye mamlaka walisema cause of death ni Chronic atrial fibrillation, basi kwa Sasa tuishi nalo hilo lakini Wakati ni mwalimu na aliyeua kwa upanga sharti afe kwa Upanga.
Naam Naam Naaam Cc: Ben Sa8 & Azory Gwanda.
 
mh! umefungua uzi kabisa!

heshima yako!

ila watanzania walioguswa wanajua jawabu lipo nalo litakuwa la kipekee!
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Kama mliunga juhudi mkono mtasubiri sana kama vp mfuateni huko Acha tupumue
 
Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache

Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Kweli kabisa wanyonge huwezi kuwakuta humu. Wale waliotandika nguo zao barabarani hao ndiyo wanashauku .humu utawakuta wahujumu uchumi, waliotumbuliwa ,vyeti feki, mafisadi n.k
 
Back
Top Bottom