Binafsi napenda sana mfumo huu unaonesha gar n la lini.
Swala la kuuza mie naona hali ya gari ndio ifanya kiuzwe kwa bei gan na si namba japo namba nayo inamchango wake
Ngoja nimalizie bia kwanza, au basi, nitakujibu asubuhiSina uhakika na wanachofanya mataifa mengine yanayofanana na sisi, lakini ninachoona mimi wazo lako litawaongezea matapeli uwanja mpana zaidi wa kupiga pesa za wanunuaji wasiokuwa makini.
Tanzania tayari siyo mahali pa kuaminika sana kwa ununuzi wa vitu kama magari sababu ya utapeli unaowezeshwa na misrepresentation of facts. Mfano wanaofanya restoration kwa lengo la kuuza, huipamba gari kwa nje huku wakificha madhaifu ya ndani ili kupata bei nzuri.
Tukiongeza mwanya wa kuficha umri wa gari tutazidi kuongeza matatizo kwenye hii biashara. Ni afadhali mtu awe na taarifa sahihi za anachotaka kununua, zikiwepo zile zinazoonekana wazi pamoja na zile zinazomtaka akasome kwenye documents.
Kwahio concern yako kubwa ni kuwa unaona aibu ukionekana unaendesha chombo usajili namba C hata kama kimekaza!?Fine, ila barabarani hakuna atakae kuwa mnyonge
Hapana, ni kuwezesha kukua kwa sector ya ‘Car restoration’Kwahio concern yako kubwa ni kuwa unaona aibu ukionekana unaendesha chombo usajili namba C hata kama kimekaza!?
Waanzishe tu hio sector hamna sababu ya msingi ya kutoianzishaHapana, ni kuwezesha kukua kwa sector ya ‘Car restoration’
Fanya restoration ya gari namba ‘B’ iwe kama mpya, ndio utajua haujuiWaanzishe tu hio sector hamna sababu ya msingi ya kutoianzisha
Mi nina C imekaza na wala sifikirii kuiuza kwa sasa na hata nikitaka uza nitauza bei nayotaka mimi.Fanya restoration ya gari namba ‘B’ iwe kama mpya, ndio utajua haujui
Nani aanzishe facility kama hiyo ale hasara? , labda waanzishe randomized plate numbersIs there any known Car Restoration Facility? Ukiacha hawa Makanjanja wa Makumbusho.
Yaani Jombi wewe na hii inshu ya 'Randomised Number Plates' umeivalia Kibwebwe utadhania ni Katiba Mpya!?Nani aanzishe facility kama hiyo ale hasara? , labda waanzishe randomized plate numbers
Mi napenda hata yangeanza na namba moja mpaka mwishoMfumo hauoneshi gari ni la lini bali limeingia nchini na kupewa usajili wa wakati fulani...
Nchi gani zinatumia mfumo kama unaoupendekezaNi identity tu, ila madhara yake ya kuweka kimtiririko badala ya randomly ni kama nilivyoeleza..
Maelezo yamejitosheleza kazi kwa wizara ya fedha kushughulikia hiliBadala ya mfumo wa sasa wa ‘TxxxAyy> TxxxByy > TxxxCyy > TxxxDyy , na sasa karibia tunaingia namba ‘E’ , ambapo mtu anakuwa anajua kabisa kwamba gari hii imesajili ya zamani au ni mpya.
Napendekeza namba zinazofuata baada ya kuisha kwa namba ‘D’ ziwe katika mfumo wa ku-‘Randomize’ ambapo panakuwa hakuna mtitiririko maalum katika usajili wa namba za magari, hii itasaidia mtu kuuza gari lake kulingana na hali iliyonayo, na sio kuangalia namba, unakuta gari zuri lina hali nzuri ila linakosa soko kisa ni namba A.
=================================
Watu wengi hununua gari toka Japan ili tu aweze kupata usajili mpya kwenye gari lake, na hivyo tunatumia pesa nyingi mno za kigeni kuagiza magari kama taifa, wakati huo huo kuna gari nyingi nchini zina hali nzuri kuliko hata hizo za kutoka japan (imefungwa engine mpya, gearbox mpya, matairi mapya, body halina accident damage, low mileage); ila linakosa soko kisa ni namba C, au B au A, ila kuna watu wanaagiza mikangafu toka Japan kisa tu itapata usajili mpya.
Hii itatoa fursa ya kuanzishwa kwa ‘Car restoration facilities’ ambazo zinalorudisha gari katika hali ya upya kama ilivyokuwa kiwandani, hata hao Japan ndivyo wanavofanya kiasi wakituuzia mkangafu sisi tunaona kama jipya, hii itatengeneza ajira nyingi sana!!!!
Pia itaokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza magari toka Japan, maana mtu ataona anunue hapa hapa nchini restored car ambayo haitamwaibisha barabarani kwa kuwa na plate number ya zamani...
Ngoja tuoneMaelezo yamejitosheleza kazi kwa wizara ya fedha kushughulikia hili
Namba E mbona ilishafika mamia. Ilishaanza muda.Binafsi napenda sana mfumo huu unaonesha gar n la lini.
Swala la kuuza mie naona hali ya gari ndio ifanya kiuzwe kwa bei gan na si namba japo namba nayo inamchango wake
Tuko Txxx DZANamba E mbona ilishafika mamia. Ilishaanza muda.
Ishapita DZC.Tuko Txxx DZA