Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Hiyo number mbili ni uongo CAG aliondolewa ili kunusuru tu mtifuano na bunge kama raisi alikuwa na hekima ni lazima angeacha kumuongezea mkataba kwa Mara ya pili
 
Walimpa nchi ndg yetu mkemia


Kilakitu akaanza kupeleka KIKEMIA na formula zake
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
I am the state
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
A homicidal maniac....His common nomenclature

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
Whatever, he was homicidal maniac to say the least.
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
A homicidal maniac....His common nomenclature

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tanzania tuna mfumo wa kipumbavu sana ambapo mambo ya msingi huamuliwa kwa utashi wa MTU
200% correct. Kile kibibi kikichohairisha ripoti ya WEZI isisomwe kilipaswa kukuta jengo lao limepigwa moto kama Burkinabe
 
CAG alivyoibua madudu yaliyofanywa na jiwe mwenyewe hasa ile alivyokwapua sh trilion 1.5 ndiyo akatumbuliwa
Baada ya Magufuli kukwapua hizo Trillion 1.5 amezificha wapi? mbona CAG hakufukuzwa ni muda wake uliisha na hakuongezewa muda kwa sababu alikuwa anabishana na bunge
 
Kitu ambacho nna uhakika wa asilimia 100 ni kua legacy ya Magufuli itabaki kwa mda mrefu sana, Rais mwenye maamuzi, anayechukia uzembe, na mthubutu kweli kweli.

Naelewa kuna watu wanalipwa 'vijishilingi' kumchafua Marehemu, lakini unaenda mwaka wa 2 huu akiwa kaburini bado shujaa.
 
Kwanza CAG kutaja tu na kuachwa huru ni credit kubwa sana kwamba kila kitu kipo huru sasa
CAG kutaja hayo madudu halafu mafisadi yenyewe hayajafanywa chochote imetusaidia nini sana sana imetuonyesha ushujaa wa mafisadi jinsi walivyopiga hela nchi haiendelei kwa sababu ya wajinga kama nyie
 
Watoto wa matajiri na mafisadi ndio waliteswa pamoja na baba zao.
Hivi mfano Yusuf Manji unaweza sema aliteseka na wakati alihamishia biashara zake South Africa?Vipi wewe mtoto wa mkulima ambaye baba yako alikuwa analima Mbaazi na kumuuzia huyo Manji kwa tsh 2000 kwa kilo,na baada ya kuondoka Manji,Mbaazi zikashuka bei mpaka tsh 150 kwa kilo?.Hapa bado hujatambua aliyeteswa ni yupi?.
 
Hiyo number mbili ni uongo CAG aliondolewa ili kunusuru tu mtifuano na bunge kama raisi alikuwa na hekima ni lazima angeacha kumuongezea mkataba kwa Mara ya pili
Hujui usemacho, unajua chanzo cha mtifuano huo unaousema?
 
Kitu ambacho nna uhakika wa asilimia 100 ni kua legacy ya Magufuli itabaki kwa mda mrefu sana, Rais mwenye maamuzi, anayechukia uzembe, na mthubutu kweli kweli.

Naelewa kuna watu wanalipwa 'vijishilingi' kumchafua Marehemu, lakini unaenda mwaka wa 2 huu akiwa kaburini bado shujaa.
Yaani watu waache kumkumbuka mtu aliyewafanya ndani ya mwaka 1 tu kukamilisha nyumba zao zilizokuwa zimekaa magofu kwa 5 years huko,eti wamkumbuke mtesi?.Haupo sawa wewe.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Wewe unaonekana kutojitambua rasmi!

Ebu tuambie,huo uhuru wa habari uliopo sasa ni upi na umeleta tija gani kwa watanzania?

Hao wawekezaji waliopo sasa wana mchango gani katika kuinua ajira nchini,tofauti na ilivyokuwa huko awali?

Wewe uko na upofu wa tumbo maana huyaoni wala huyajui maisha wanayopitia walamba shubili wa nchi hii.

Wewe kimada chawa wa walamba asali endelea na Honeymoon yako,ila majibu rasmi mtayaona 2025.

Hayo maushungi mtayaona mzigo!
 
Back
Top Bottom