Pamoja..Correct, lakini nilikuwa naongelea atmosphere as a whole mass of air that surrounds the earth.
Joto au baridi la outer space itategemea kama kutakuwa na chanzo otherwise permanent temperature ni 2.7 kelvin as a result of background radiation from the big bang.
Tuanze na safety ya spacecraft itself kama ulivyosema. Ikifanyika miaka 53 nyuma haitakiwi kufanyika tena?Usalama wa spacecraft itself plus data collection. and the safety of specified environment if it's suitable enough for human activities and residential usage.
Kitu ambacho hawakufanya miaka 53 nyuma.
Safety of spacecraft ilifanyika hapahapa duniani, lakini hawakufanya kufanya mission nzima ya kwenda na kurudi just to gain data.Tuanze na safety ya spacecraft itself kama ulivyosema. Ikifanyika miaka 53 nyuma haitakiwi kufanyika tena?
Kuna jamaa yangu hapa anadai wanawake wanaenda huko kila.mwezi.Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Nani alikwambia Imani haithibitishwi ? Imani inathibitishwa na mimi nimeshakuthibitishia ya kwamba imani yangu ni kuwa Qur'aan haisemi uongo, uthibitisho ni wao kushindwa kwenda huko mwezini. Sasa na wewe unaamini hilo, ila kuna vitu yaani ishara zilizo kupelekea kuamini hilo.Unajua maana ya "imani"?
Mimi nimeshakwambia ndio naamini watu walikwenda mwezini.
Sasa wewe unataka uthibitisho au ushahidi gani?
Kazi iliyobaki ni wewe kuthibitisha kwamba hakuna mtu alikwenda mwezini na kwanini.
Bora hta umekiri kwamba hujui ulichokiandika..[emoji23][emoji23].. Sijui nimeandika nini but at least nimeeleweka[emoji23][emoji1787]
Nukta katika kuogopwa ili watu waelekeze mambo yao kwao. Mifano iko mingi sana leo hii hata nyinyi mambo yenu mnao waangalia na kuwaamini ni nani ? Bila shaka ni hao hao, na hii ni faida katika faida zao.Mimi nimeshajiuliza kwanini waongope na jibu nililopata ni hakuna faida yoyote watakayopata wakiongopa.
Sasa niambie point ipo wapi hapo kwenye kusifiwa, kuogopwa na kutukuzwa kama unavyosema na kunawafaidisha vipi NASA developmentally, Physically, Economically na Scientifically?
Kwani aya inayosema huwezi kuvuka atmosphere iko wapi au peponi ndo uko angan?Nani alikwambia Imani haithibitishwi ? Imani inathibitishwa na mimi nimeshakuthibitishia ya kwamba imani yangu ni kuwa Qur'aan haisemi uongo, uthibitisho ni wao kushindwa kwenda huko mwezini. Sasa na wewe unaamini hilo, ila kuna vitu yaani ishara zilizo kupelekea kuamini hilo.
Kwahiyo hata uwe na imani ya sampuli lazima uwe na ushahidi juu ya imani hiyo ujue ni imani ya kweli au ya uongo.
Sasa inaonekana una uchache wa elimu juu ya tamko imani. Imani ni uhalisia na si nadharia kama za Sayansi japo kuna imani sahihi na imani potofu yaani za uongo.
Twende kazi.
Unasema vipi wameshindwa bila kuthibitisha kuwa wameshindwa?Nani alikwambia Imani haithibitishwi ? Imani inathibitishwa na mimi nimeshakuthibitishia ya kwamba imani yangu ni kuwa Qur'aan haisemi uongo, uthibitisho ni wao kushindwa kwenda huko mwezini. Sasa na wewe unaamini hilo, ila kuna vitu yaani ishara zilizo kupelekea kuamini hilo.
Kwahiyo hata uwe na imani ya sampuli lazima uwe na ushahidi juu ya imani hiyo ujue ni imani ya kweli au ya uongo.
Sasa inaonekana una uchache wa elimu juu ya tamko imani. Imani ni uhalisia na si nadharia kama za Sayansi japo kuna imani sahihi na imani potofu yaani za uongo.
Twende kazi.
Bado hujajibu swali.Nukta katika kuogopwa ili watu waelekeze mambo yao kwao. Mifano iko mingi sana leo hii hata nyinyi mambo yenu mnao waangalia na kuwaamini ni nani ? Bila shaka ni hao hao, na hii ni faida katika faida zao.
Kwanini wasiogope wakati ulimwenguni hatupo peke yetuKitendo cha wao kusema wanaenda kuangalia kama kuna usalama wa kupeleka tena binadamu siku zijazo ni kauli tosha kusema hawajawahi kupeleka binadamu mwezini.
Yaani walikuwa na uthubutu wa kutake immeasurable amount of risk mwaka 1969 lakini wanaogopa kufanya walichofanya enzi hizo mwaka 2022 tena kwenye gap la miaka 53?
Bila shaka 1969 lunar landing ilikuwa geresha ya cold war, I stand to be corrected.
Yote kwa yote I respect their tremendous efforts juu ya science developments na space exploration.
Kwa hiyo kufanyika tena sio kigezo kwamba hawakwenda mwezini miaka 53 nyuma.Safety of spacecraft ilifanyika hapahapa duniani, lakini hawakufanya kufanya mission nzima ya kwenda na kurudi just to gain data.
Unataka kusema nini chief?. Neno atmosphere umelifanya Kua hoja kuu.. Shida yako mi ni kuweka neno atmosphere katika koment yangu?.Bora hta umekiri kwamba hujui ulichokiandika..
Hujanielewa.Kwa hiyo kufanyika tena sio kigezo kwamba hawakwenda mwezini miaka 53 nyuma.
Kumaanisha?Kwanini wasiogope wakati ulimwenguni hatupo peke yetu
OkeyHujanielewa.
1969 walifanya spacecraft safety test kwa kufanya inspections mbalimbali hapohapo kwenye lauchpad bila ya kwenda popote na baada ya hapo chombo kiliondoka na crew ya watu ndani yake.
Lakini mwaka 2022 wanafanya mission nzima kuwa inspection yaani kwenda na kurudi ili tu kupata taarifa za uhakika juu ya ufanyaji kazi wa chombo na sababu nyingine, bila crew ya watu ndani yake, yaani ni remote mission.
Kitu ambacho hawakufanya 1969 sababu ni risk kubwa isiyoelezeka.
Sasa mbona unapingana wa neno tena?Kitendo cha wao kusema wanaenda kuangalia kama kuna usalama wa kupeleka tena binadamu siku zijazo ni kauli tosha kusema hawajawahi kupeleka binadamu mwezini.
Yaani walikuwa na uthubutu wa kutake immeasurable amount of risk mwaka 1969 lakini wanaogopa kufanya walichofanya enzi hizo mwaka 2022 tena kwenye gap la miaka 53?
Bila shaka 1969 lunar landing ilikuwa geresha ya cold war, I stand to be corrected.
Yote kwa yote I respect their tremendous efforts juu ya science developments na space exploration.
Hivi alobadili mada nani hapo? rejea na uzi ni wapi mtoa mada kaleta hoja za allah au upande wowote wa dini lakini mada mpaka imefika hapa mpaka umeniquote ni kwa sababu ya mchangia uzi kuusisha hoja za kisayansi na dini, kisayansi ni mtu yeyote anaweza changia au hata kuelewa coz ukisikia sayari ni elimu ya kuanzia msingi mpk sekondari nakuendelea though kuna walojifunza deep, kidini ni unalazimisha kugawa makundi mfn bnafsi hata ukinambia kuhusu allah cna nachoelewa nitakujibu unavyolazimisha mwsh ndiyo hvyo unaona npo ya hoja.Heheheee
Mdili namada iliopo jukwaani achana na huyo jirani yako
Mana yeye kafeli tayari sababu hata aya yamwanzo kabisa imeshuka ikalazimisha ama kusisitiza kuhusiana na kusoma
Haijataja elimu ipi ila elimu zote inatakiwa uzisome kwafaida yako najamii kwaujumla
Iqraa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe maelezo wewe unayejua, mwenzio kauliza, nini kumng'ong'a?Da kaka, kama sayansi ulitoka ziro unauliza. Mbona jambo dogo sana