Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Sipingi dhana zako moja kwa moja maana una hoja za msingi, na maangalizo yenye mantiki. Lakini matumizi ya mitandao ni mambo ya wakati, na yoyote anayetumia mitandao anafikia jamii kwa urahisi kuliko anayetumia njia nyingine yoyote. Hili la mama kutumia mitandao ni utashi wake binafsi na sio ushauri wa system, labda system nayo iadapt kwenye matumizi ya mitandao, lakini sio jambo planned na system.

Alichofanya mama ni kuachana na siasa za mtangulizi wake za chuki, akamua kuongea lugha ya maridhiano zaidi, ndio maana Kawa rafiki humu mitandaoni. Kama ingekuwa ni jambo planned na system, Dr.Mpango, Mwigulu nk wangepata mwitikio chanya kama wa mama.
 
Tofaufi na Mama, baba yetu hakufanya maamuzi yake kwa ushauri wa kutoka mitandaoni na mara nyingi alifanya kinyume kabisaa! Hii ilitokana na umahiri wake binafsi ktk kufocus kwenye vipao mbele vya serikali yake pasipo kuyumbishwa! Sasa kama mama hata kuwa na talent hizo, kuyumba atayumbishwa sana na mapopoma wa mtaa wa ufipa!
By the way, kama anataka kujua wananchi wake 2nataka nini yy aje mtaani atutembelee ndio watu tutamtiririkia tunayoyataka! Sio kukaa na smartphone akipita mitandaoni na kujiaminisha kwa uvivu kuwa ndio maoni ya watz! Rais wetu sio rais wa mtandaoni😡! Atafanana na akina Zito na Mbowe na saccos zao za mitandaoni! Uhalisia upo mtaani, yy mama atoke aje kutusikiliza ataelewa wananchi wake watakalo! Sio hawa washinda mitandaoni tu huku wakisubiri kuitwa chakula kimeiva mfyuuuuuu 😡!
 
kwa kweli ajilimit muda wa kuingia mitandaoni,unaweza usilale eti na ukilala usingizi wa mang'amung'amu
 
Unayewategemea akina Kibajaji, Musukuma, Japipo, and the like, endelea nao. Lakini Mh. Rais Samia anajua kuwa wabunge ni sehu ndogo sana ua umma wa Watanzania.
 
Kweni wewe unawajua Wangazija? au mpaka wakuzawadie busha ndio ulete heshima.
Wangazija = Wasukuma -50%
Wangazija = Wafipa -65%
Mungu > Wangazija +Wafipa+Wasukuma
 
Samia hua hakaachi ka iPhone6 kake
 
M
Mwesiga unaendeleaje?
 
Mama yuko vizuri acha apige kazi ili 2025 akipewa nafasi ya kugombea azoe kura za vyama vyote,naamini itakua hivyo.
Vyama vingine vipo mitandaoni tu kitaani avipo.
Mungu mbariki Rais wetu Samia suluhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…