Nashauri Rais Samia ambadilishie kituo cha kazi Paul Makonda. Arusha inatosha, aende mahali pengine

Nashauri Rais Samia ambadilishie kituo cha kazi Paul Makonda. Arusha inatosha, aende mahali pengine

Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Mwambieni Mbunge ajue mipaka yake na awe na adabu kwa wakubwa. Makonda ana zaidi ya Wabunge sita chini yake, kwa nini wakulia lia awe Gambo tuu? Mwambieni atulie, imeandikwa, ukiua kwa Upanga utakufa kwa Upanga. Gambo asome alama za nyakati, siasa za sasa hazimtaki. Hata kama asingekuwepo Makonda, Gambo asingepita kura za maoni CCM.
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam

Chawa wa Gambo wache watoane macho hakuna anaye wataka . Mtu ambaye anapendwa Arusha ni Lema wengine wanategemea serikali . Wote wajinga jinga
 
Ubunge ni Cv kubwa kuliko mkuu wa Mkoa..

Kuna wabunge baada ya kushindwa uchaguzi walipozwa kwa kupewa u-Dc au kupewa u-Rc.

Ukimpa leo mbunge yeyote wa Ccm options, ama aendelee na ubunge au ateuliwe kuwa mkuu wa mkoa...lazima atachagua kuendelea na ubunge.

Hata Makonda aliuweka rehani ukuu wa mkoa, akaenda kugombea ubunge kigamboni...

Makonda ni Rc msumbufu sana.
Ni vile tu hajakutana na mbunge mjuaji.
Gambo sijui nae vp tu.....Mbunge wa chama tawala unapelekeshwaje kizembe hivyo..si amtie kofi tu.
 
Huyu Makona alitakiwa akutane na mbunge mjeuri sampuli za Ole sendeka, Msukuma, Kigwangala, au hata li-Gwajima.

Wakuu wa mikoa wana shughuli chache sana kimiongozo..
Kulazimisha kutrend ndio kunamfanya Makonda afanye shughuli za watu wengine...

Mbunge yupo, Madiwani wapo, Wakurugenzi wapo, Meya yupo, Ras yupo, Das vilevile.....
Makonda anataka yote afanye yeye.

Ipo tofauti kati ya mkuu wa Mkoa na Gavana wa eneo.
Makonda amejigeuza kuwa Gavana.
Hicho cheo hatuna Tanzania.
Gavana yupo mmoja tu wa B.O.T tu nae hana mkoa wala Jimbo.

Na kwanini ang'ang'anie Arusha mjini tu,
Kwani Hazipo wilaya nyingine.
 
Milioni 400 ya bodaboda imeliwa 2016. Msimamizi akiwa Mrisho Gambo. Inaonekana CCM wanajua na kujuana nani kaiba pesa wapi. Wanakaysha ila wakizinguana ndio wanafukua makaburi.

Kutakuwa na upigaji kama huu sehemu nyingi tu.
 
Hao wote ni wahuni. Makonda ni mhuni na kibaka, Gambo nae ni mhuni na kibaka. Ni vibaka toka enzi na enzi.
Ndo wamekutana sasa !
Ngoja tuone nani msomi wa Kweli kuliko mwingine na nani ni wa mujini na nani wa pande za Bush
Ila sidhani kama atajitunisha tena
wanasemaga unaweza kulihamisha Jabali lililopo baharini lakini huwezi kuihamisha tabia ya mtu 🙄 !
Ngoja tuone !
 
Huyu Makona alitakiwa akutane na mbunge mjeuri sampuli za Ole sendeka, Msukuma, Kigwangala, au hata li-Gwajima.

Wakuu wa mikoa wana shughuli chache sana kimiongozo..
Kulazimisha kutrend ndio kunamfanya Makonda afanye shughuli za watu wengine...

Mbunge yupo, Madiwani wapo, Wakurugenzi wapo, Meya yupo, Ras yupo, Das vilevile.....
Makonda anataka yote afanye yeye.

Ipo tofauti kati ya mkuu wa Mkoa na Gavana wa eneo.
Makonda amejigeuza kuwa Gavana.
Hicho cheo hatuna Tanzania.
Gavana yupo mmoja tu wa B.O.T tu nae hana mkoa wala Jimbo.

Na kwanini ang'ang'anie Arusha mjini tu,
Kwani Hazipo wilaya nyingine.
Arusha tu ?!!
Labda ndipo kwenye njuluku mingi maokoto mingi !
 
Hapo kuna Mbunge wa Arusha mjini na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mjini.
 
Ninasapoti wazo lako. RC Makonda ataleta sana uhasama pale Arusha. Analeta mgawaqnyiko mkubwa sana pale Arusha. Tatizo lake anataka yeye ndiyo aonekane wa maana kuliko yeyote pale Mkoani. Utawala hauendi hivyo. Utawala unataka timu moja kwa maendeleo, malengo ya pamoja. Mhe. Rais ni vema huyu RC akatafutiwa kituo kingine.
Tatizo la huyu jamaa ni hilo kujijenga mwenyewe na kupuuza wengine na kudharau wengine,kipindi cha Magu aliwadharau mpaka mawaziri.Nafkri kuna kitu hakiko sawa,na atajitambua kwa kuchelewa.
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Poleni chawa wa Makonda na Gambo. Ubunge tu ndio unafanya mpigane hivyo au kuna sababu nyingine?
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Katika watu wapo na tamaa ya madaraka tz hii Makonda ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom