Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

na kwasasa usiku kuna abiria wengi sana,kama umewahi safiri usiku utakua shahidi.
Kweli Mkuu! Juzi nilikua nataka kusafiri na gari ya saa 10 jioni (newforce) wakaniambia seats zilizokuwepo. Nikawaambia niwekee namba 11 nitalipa kwa mpesa. Mtandao ulinisumbua kidogo jamaa wakanipigia simu kuwa zimebaki za nyuma. Ikabidi nichukue ya saa 2 usiku.
 
Gari lingekua lako ungefanya service ukifika dar na ukifika moro unafanya ungeweza. Mbona unaongea vitu vya ajabu sana.
Gari hizo zina ratba yake ya service sio kila siku. Unadhani service ni kuweka mafuta.
Unajua ifike mahali wana jf kama hujui uliza.. Gari hujawahi miliki unaanza leta stry za service every return day. Daah

Labda alimaanisha halijafanyiwa hata usafi ..
 
Mie nafkir kuwe na Certification maalumu ya kubeba abiria usiku.

Kwa kuzingatia vipimo mbalimbali ikiwemo cha afya na matumizi ya pombe.
 
Suluhisho ni kupanua barabara sasa sio kuwafanya watu wasifanye kazi usiku.
kama ni lazima kufanya kazi usiku bila kuzingatia mazingira yanini kuingia gharama kupanua barabara??

tunaitwa ulimwengu wa 3 sababu bado hatujajua kipi ni sahihi kipi si,kama tuna usokwe kwa mbali bado.

ndio maana hata tbs iko radhi kupitisha bidhaa viwango hafifu kwa sababu watu wanatumia na maisha yanakwenda.
 
kama ni lazima kufanya kazi usiku bila kuzingatia mazingira yanini kuingia gharama kupanua barabara??

tunaitwa ulimwengu wa 3 sababu bado hatujajua kipi ni sahihi kipi si,kama tuna usokwe kwa mbali bado.

ndio maana hata tbs iko radhi kupitisha bidhaa viwango hafifu kwa sababu watu wanatumia na maisha yanakwenda.
Hatujitambui mkuu
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
Nazn ni usimamizi na utaratbu ufuatwe lakn sio kufuta safr za usiku
 
Acha kelele zako,
Leta takwimu zinazoonyesha basi za abiria kusafiri mchana ni salama zaidi kuliko usiku.
Leta idadi ya ajali zilizotokea usiku dhidi ya zile za mchana. Vinginevyo wewe na wenzako wa aina yako ni wa kupuuzwa tu.
una ujinga mwingi kaa nao uendele kukudhuru peke yako.

nikupe data kwa sababu unabisha au?
nakupa homework nawewe usipende kutafuniwa utaendelea kudumaa kichwa,ingia kwenye utafiti utaelewa kwanini hatukubaliani.
 
Watu wenye lodge na migahawa wanapambania ugali wao.....
kwahiyo mkuu una risk maisha kisa kukwepa kula njian na kulala guest[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

hii nchi kweli ni chanel ya vituko huko mbinguni.
 
Aliyeanzisha hii mada amewasilisha maoni yake ambayo ninayaheshimu lakini sikubaliani nayo.
Nasafiri saana kwenda ARUSHA na Moshi kibiashara nikiwa nimebeba time sensesitve items kama madawa nakadhalika na usafiri wangu mkubwa ni magari ya BM COACH,mwendo wao nyakati za usiku ni mzuri saana kuliko mchana na abiria wanagombania tiketi za usiku
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
Ujinga.Ajali zimeanza Leo Tzn hapa?

Wakati safari ni mchana tuu Ajali zilikuwa hazipo?
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
Naunga mkono hoja, zifutwe tunaangamia!
 
Mleta mada upo sahihi safari za usiku Zinaleta adhari nyingi kuliko mchana Hata hizo ajali za alfajiri au mchana ni sababu ya kusafiri usiku .

Dereva hapumziki vya kutosha usiku na unakuta kampuni nyingine wabahili kuweka madereva Wawili .
Mfano hai nilisafiri na Dar Lux mwanza - Dar kidogo tupate ajali dereva ametoka Dar Mpaka mwanza akageuza kurudi Dar akachoka akampatia gari rafiki yake asiyejua njia matokeo tukaparamia tuta wakati mvua inanyesha na huko njiani tulikosakosa malori mengi yapo full mzuka na mataa full Kama Treni .
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
ajali ya singida imetokea asubuhi,
ajali ya lindi asubuhi.
hsyo ya usiku ajali we ni ipi
 
Back
Top Bottom