Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

Magari ya usiku kutokea Moshi niliyopanda yanatembea 80kms sijaona linalokimbia zaidi hivyo ni mwendo salama kabisa kwa usiku.
Labda ungeshauri wamiliki wa mabasi wahakikishe, wanaoendesha usiku ni wale wasio na upungufu wa nguvu za macho (uoni hafifu); kwani hilo ndilo laweza kuwa tatizo
Kweli kabisa. Mimi nasafiri karibu kila weekend. Wanaenda vizuri tu.
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Una takwimu zozote mkuu za kuthibitisha hilo? Tangu yameanza kusafiri usiku kumetokea ajali ngapi na wangapi wamepoteza maisha mpaka useme tutaisha?
 
Hakika wewe unaandika tu mradi umeandika. Serikali ilifanya tathmini lini? Au hujui maana ya thathmini? Mimi siko hapa kupinga mabasi kusafiri usiku ila napinga uongo unasema hapa. Ni hivi: mabasi hayajaanza siku nyingi kusafiri usiku, hivyo cha kuzingatia ni kuchukuwa na kufanya tathmini mara kwa mara eg kila baada ya mwaka ili kujua kama kusafiri usiku kunasababisha ajali nyingi zaidi.
Zimpopa kaza fuvu
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Lile basi la magereza liligonga treni ilikuwa saa 8 usiku au?
 
Usafiri wa usiku uendeleee, hatuwezi stopisha safari za usiku kisa ajali mbili
 
Nakubaliana na wewe.

Licha ya ajali za barabarani hata usalama wa watu kwenda stend saa kumi za usiku pia haupo.

Nilienda kwetu huko kuuliza bus la kurudi dsm naambiwa yanapita saa kumi za alfajiri.

Bahati tu nilikuwa na namba ya taxi, sijui kama nitaenda tena huko.
Magari yaruhusiwe, wanaoweza kusafiri wasafiri,
Ambao hawawezi walale nyumbani watasafiri mchana,
Wanaokaa karib na stend watasafiri usiku, wengine mtasafiri asubuhi
 
Umesoma nilichoandika au umedandia tu? Nionyeshe sehemu niliyosema traffic wamelala!
Huko kusema serikali haijafanya tathmini ndiko napingana nako! Hivi unafikri mpaka serikali inasema sasa mabasi wafanye safari za usiku wamekurupuka tu? Ndiyo maana nikauliza unafikri traffic wamelala?
 
Watanzania tujisahihishe. Kila mtu ajitahidi kufuata sheria. Ni upumbavu wa hali ya juu kusikia basi limegonga treni. Madereva wa kitanzania wana ushenzi mwingi wa kutokuwa makini barabarani. Hata madereva wa malori wa kitanzania wanalaumiwa sana kusababisha ajali barabarani kati ya Nakonde - Kapiri Mposhi, Zambia.
 
Shida ni nini?
Mabasi?
Malori?
Madereva?
Polisi?
Service?

Safari za usiku zinaleta freedom kwenye matumizi ya muda!
Na kwa sasa hawatorudi nyuma
 
Kwema wakuu?

Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.

Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.

Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.

Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Ni mabasi mangapi yamepata ajali usiku ?

Mabasi ya Newforce yaliyofungiwa wakati ule hakuna hata moja katika mabasi yaliyopata ajali lililoanguka usiku
 
Watanzania tujisahihishe. Kila mtu ajitahidi kufuata sheria. Ni upumbavu wa hali ya juu kusikia basi limegonga treni. Madereva wa kitanzania wana ushenzi mwingi wa kutokuwa makini barabarani. Hata madereva wa malori wa kitanzania wanalaumiwa sana kusababisha ajali barabarani kati ya Nakonde - Kapiri Mposhi, Zambia.
Tatizo tupo kwenye kila kitu ni shortcuts.
Uchaguzi shortcuts!
Matibabu shortcuts
Biashara shortcuts
Leseni shortcuts
Sheria shortcuts

NB: safari za usiku ziendelee
 
Shida ni nini?
Mabasi?
Malori?
Madereva?
Polisi?
Service?

Safari za usiku zinaleta freedom kwenye matumizi ya muda!
Na kwa sasa hawatorudi nyuma
Maswali ya msingi sana!
Na Mimi nikaongeza kuwa kama mchana hakuna ajali basi tugeuze usiku Mchana kwa kuweka Taa za barabarani njia zote.
 
Huko kusema serikali haijafanya tathmini ndiko napingana nako! Hivi unafikri mpaka serikali inasema sasa mabasi wafanye safari za usiku wamekurupuka tu? Ndiyo maana nikauliza unafikri traffic wamelala?
Haikufanya tathmini yoyote. Ni kukurupuka ndiyo. Ila kunaweza kuwa kukurupuka kusiko na madhara.... muda ndiyo utaamua. Labda nikuulize- trafiki wanazuia ajali kwa kiwango gani? Mbona mchana wanakuwa wamejaa kila amahali lakini bado ajali zinatokea?
 
If that is the case hata tungepiga marufuku kutengeneza visu sababu vinaweza kutumika pia kuleta madhara
 
Back
Top Bottom