Kweli Mkuu! Juzi nilikua nataka kusafiri na gari ya saa 10 jioni (newforce) wakaniambia seats zilizokuwepo. Nikawaambia niwekee namba 11 nitalipa kwa mpesa. Mtandao ulinisumbua kidogo jamaa wakanipigia simu kuwa zimebaki za nyuma. Ikabidi nichukue ya saa 2 usiku.na kwasasa usiku kuna abiria wengi sana,kama umewahi safiri usiku utakua shahidi.
Gari lingekua lako ungefanya service ukifika dar na ukifika moro unafanya ungeweza. Mbona unaongea vitu vya ajabu sana.
Gari hizo zina ratba yake ya service sio kila siku. Unadhani service ni kuweka mafuta.
Unajua ifike mahali wana jf kama hujui uliza.. Gari hujawahi miliki unaanza leta stry za service every return day. Daah
Mchana wanakufa sana tu ila inachangiwa na madereva kuendesha usiku bila kupumzikakwan mchana hawafi?
kama ni lazima kufanya kazi usiku bila kuzingatia mazingira yanini kuingia gharama kupanua barabara??Suluhisho ni kupanua barabara sasa sio kuwafanya watu wasifanye kazi usiku.
Huwezi kutoa ushauri wa kipuuzi hivyo, toka gari zimeanza kutembea usiku umesikia ajali ngapi?We unamiliki Nini mweshimiwa
Umefanya research yoyote?Mchana wanakufa sana tu ila inachangiwa na madereva kuendesha usiku bila kupumzika
Hatujitambui mkuukama ni lazima kufanya kazi usiku bila kuzingatia mazingira yanini kuingia gharama kupanua barabara??
tunaitwa ulimwengu wa 3 sababu bado hatujajua kipi ni sahihi kipi si,kama tuna usokwe kwa mbali bado.
ndio maana hata tbs iko radhi kupitisha bidhaa viwango hafifu kwa sababu watu wanatumia na maisha yanakwenda.
Nazn ni usimamizi na utaratbu ufuatwe lakn sio kufuta safr za usikuKwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
una ujinga mwingi kaa nao uendele kukudhuru peke yako.Acha kelele zako,
Leta takwimu zinazoonyesha basi za abiria kusafiri mchana ni salama zaidi kuliko usiku.
Leta idadi ya ajali zilizotokea usiku dhidi ya zile za mchana. Vinginevyo wewe na wenzako wa aina yako ni wa kupuuzwa tu.
kwahiyo mkuu una risk maisha kisa kukwepa kula njian na kulala guest[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Watu wenye lodge na migahawa wanapambania ugali wao.....
Wapuuzwe, watafute kazi nyingine za kufanya.Watu wenye lodge na migahawa wanapambania ugali wao.....
Ujinga.Ajali zimeanza Leo Tzn hapa?Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
Naunga mkono hoja, zifutwe tunaangamia!Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
ajali ya singida imetokea asubuhi,Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.