myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Kweli kabisa. Mimi nasafiri karibu kila weekend. Wanaenda vizuri tu.Magari ya usiku kutokea Moshi niliyopanda yanatembea 80kms sijaona linalokimbia zaidi hivyo ni mwendo salama kabisa kwa usiku.
Labda ungeshauri wamiliki wa mabasi wahakikishe, wanaoendesha usiku ni wale wasio na upungufu wa nguvu za macho (uoni hafifu); kwani hilo ndilo laweza kuwa tatizo
Usiseme hivi mwenzio Nina safari ya usiku kesho...nisijeghairi 🤣🤣Usiku kuzuri aiseee watu tunakula sana kimasihara!
Umesoma nilichoandika au umedandia tu? Nionyeshe sehemu niliyosema traffic wamelala!Unafikri traffic wamelala? Tuache ujuaji!
Amekariri tu, hajuiLifanyiwe service hata kama muda wa service bado?
Hebu nunua lako likienda tripu moja ulifanyie service baada ya mwaka uje jukwaani hapa useme umepata faida kiasi gani
Una takwimu zozote mkuu za kuthibitisha hilo? Tangu yameanza kusafiri usiku kumetokea ajali ngapi na wangapi wamepoteza maisha mpaka useme tutaisha?Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Zimpopa kaza fuvuHakika wewe unaandika tu mradi umeandika. Serikali ilifanya tathmini lini? Au hujui maana ya thathmini? Mimi siko hapa kupinga mabasi kusafiri usiku ila napinga uongo unasema hapa. Ni hivi: mabasi hayajaanza siku nyingi kusafiri usiku, hivyo cha kuzingatia ni kuchukuwa na kufanya tathmini mara kwa mara eg kila baada ya mwaka ili kujua kama kusafiri usiku kunasababisha ajali nyingi zaidi.
Lile basi la magereza liligonga treni ilikuwa saa 8 usiku au?Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Magari yaruhusiwe, wanaoweza kusafiri wasafiri,Nakubaliana na wewe.
Licha ya ajali za barabarani hata usalama wa watu kwenda stend saa kumi za usiku pia haupo.
Nilienda kwetu huko kuuliza bus la kurudi dsm naambiwa yanapita saa kumi za alfajiri.
Bahati tu nilikuwa na namba ya taxi, sijui kama nitaenda tena huko.
Huko kusema serikali haijafanya tathmini ndiko napingana nako! Hivi unafikri mpaka serikali inasema sasa mabasi wafanye safari za usiku wamekurupuka tu? Ndiyo maana nikauliza unafikri traffic wamelala?Umesoma nilichoandika au umedandia tu? Nionyeshe sehemu niliyosema traffic wamelala!
Ni mabasi mangapi yamepata ajali usiku ?Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Tatizo tupo kwenye kila kitu ni shortcuts.Watanzania tujisahihishe. Kila mtu ajitahidi kufuata sheria. Ni upumbavu wa hali ya juu kusikia basi limegonga treni. Madereva wa kitanzania wana ushenzi mwingi wa kutokuwa makini barabarani. Hata madereva wa malori wa kitanzania wanalaumiwa sana kusababisha ajali barabarani kati ya Nakonde - Kapiri Mposhi, Zambia.
Maswali ya msingi sana!Shida ni nini?
Mabasi?
Malori?
Madereva?
Polisi?
Service?
Safari za usiku zinaleta freedom kwenye matumizi ya muda!
Na kwa sasa hawatorudi nyuma
Haikufanya tathmini yoyote. Ni kukurupuka ndiyo. Ila kunaweza kuwa kukurupuka kusiko na madhara.... muda ndiyo utaamua. Labda nikuulize- trafiki wanazuia ajali kwa kiwango gani? Mbona mchana wanakuwa wamejaa kila amahali lakini bado ajali zinatokea?Huko kusema serikali haijafanya tathmini ndiko napingana nako! Hivi unafikri mpaka serikali inasema sasa mabasi wafanye safari za usiku wamekurupuka tu? Ndiyo maana nikauliza unafikri traffic wamelala?
Mabasi ya mwanza ni tofauti kabisa !Kweli kabisa. Mimi nasafiri karibu kila weekend. Wanaenda vizuri tu.