Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi gani zaidi ya nia za kuutaka urais. Anauchimba uongozi wa sasa. Ni kwa sababu tu hatuna utamaduni wa kujiuzulu vinginevyo alitakiwa siku nyingi awe anafanya shughuli zake binafsi.Ndugai kuna vitu alikosea kama kila mtu.
Kusimama, kusimamia maslahi ya Watanzamia yupo sawa kabisa. Wengi tupo nyuma yake.
Maslahi gani zaidi ya nia za kuutaka urais. Anauchimba uongozi wa sasa. Ni kwa sababu tu hatuna utamaduni wa kujiuzulu vinginevyo alitakiwa siku nyingi awe anafanya shughuli zake binafsi.
Afanye uaExactly,Samia apige chini mabaki yote Ya dikteta magufuli, hawana ujanja nje ya serikali Wala nje ya Chama hao wapuuzi kina nduugay
Mengine nayaita ya makusudi kuruhusu Sheria kandamizi na hujuma dhidi ya democrasiaNdugai kuna vitu alikosea kama kila mtu.
Kusimama, kusimamia maslahi ya Watanzamia yupo sawa kabisa. Wengi tupo nyuma yake.
Sgang wote huwa mnajifichia kichaka Cha uzalendo.Wewe nyie ni wapuuzi sana. Inaweza kuuza nchi..
Ndugai ni Mzalendo, jibu hoja zake.
Sasa tupo na subwoofer aka wamichongo au mzee wa bakora. Kila mmoja lazima anywe kikombe chake kwa wakati wakehivi ishu ya Askofu Mwingira na Jeshi la Polisi imefikia wapi?????
nchi imejaa hekaheka mpaka hujui ushike lipi uache lipi 😀
Wewe unaficha kichaka gani, uhuni?Sgang wote huwa mnajifichia kichaka Cha uzalendo.
Sgang Kuna viroboto na wahuni Sasa sijui huo mchanganyiko Nini kinatokea.Wewe unaficha kichaka gani, uhuni?
Wa TZ wengi unawaita viroboto. Unakosea.Sgang Kuna viroboto na wahuni Sasa sijui huo mchanganyiko Nini kinatokea.
Basi niwaite wazalendo maslahi(binafsi) hapo napo vipi?Wa TZ wengi unawaita viroboto. Unakosea.
Unadhani kuwavua wanachama uanachama ndiyo suluhu? Jibu hoja acha udikteta.Wakati wa Magufuli huyu kichaa si alikuwa house boy Chato?
Angethubutu kuongea haya? Solution ya kudeal na waasi wa Sukuma gang ni kuwavuwa uanachama tu period.
Hakuna kibaka yeyote wa ccm mwenye uwezo wa kusurvive nje ya ccm.
Upo sawa.Basi niwaite wazalendo maslahi(binafsi) hapo napo vipi?
Kama siyo suluhu Benard Membe mlimfanyaje? Mlijibu hoja zake?Unadhani kuwavua wanachama uanachama ndiyo suluhu? Jibu hoja acha udikteta.
Ni mjinga tu anayehalalisha ovu kwa ovu.Kama siyo suluhu Benard Membe mlimfanyaje? Mlijibu hoja zake?
Unaongea ubaguzi mkuu. Kwa hiyo weww mtanganyika ndiye mwenye uchungu na nchi hii?.Unakosea. Ndugaib Anawasilisha maoni ya wengi. Unajua huyu mama hana uchungu na hii nchi Tanganyika. Kwanini tumeuza nchi.