Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

Oooh taifa langu lenye watu wafu walio hai
 
"Samahani mheshimiwa hivi unamjua Bashite..
Hili ni jipu jipya toka Koromije..
Limesha iva na usaa limeshatunga..
Nakukabidhi sindano ya kulidunga..
Daktari haogopi ukubwa wa kidonda..
We si Dr wa majipu tumbua hakuna kuvunga.."
 
Hana vigezo vya ku serve hiyo nafasi. WHO si shirika la urithi, ndugulile ali qualify sababu alikuwa na vigezo. Paul makonda hana such cv, let slone hajawi serve kwneye hiyo career

Makonda amesomea nini? Ana Bachelors ya kitu gani?

Kama unasema hana qualifications za udokta maana yake kuna vitu vingine atakuwa amebobea.
 
Dah ,una masihara mkuu
 
Vyeti viko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…