Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

Hiv nyie wajinga wa yuvisisihemu Nan aliwambia vyeo vya UN ni vya kuridhi kama mnavyo ridhi uongoz hapa tz? Kwa iyo mnadhan Duniani watu Wana akili mgando kama yuvisisihemu? Huyo unayemtaja sjui Nan unajua alipata dvn 0 form 4? Ivyo vyeo vya UN sio uganga na mikoba ta hirizi zenu mnaoachiwa ba Babu zenu!!!
 
We jamaa akili hauna kabla ya kuandika huu ujinga uliangalia kweli QUALIFICATIONS ZA NDUGULILE KUWA PALE? yaani ni sawa na useme MAKONDA ateuliwe awe CAG WA Tz,hii nchi vilaza wengi aisee😀😀
 
Makonda hajasoma pamoja na ujanja wote ule yeye mwisho la 7 tu, unataka aende WHO kulihaibisha taifa>
 
. Hivyo ni vyeo vya kitaaluma mzee sio siasa mkuu
 
m

Kwani amesharuhusiwa kwenda Ulaya,Vijana wa CCM zero brain
 
Kwani Makonda ni daktari? Au unaleta siasa zako za kinafiki? KUMBAVU!!
 
😂 jamaa ana vikwazo vya kusafiri kwa kuwa muuaji 🤦🏾‍♂️ wajinga jinga wa kiki
 
🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…