The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Harakati za kudai mageuzi ya demokrasia katika nchi yetu yalianza miaka miaka mingi iliyopita.
Hatimae Kwa shinikizo la mataifa makubwa tukakubali kuruhusu mfumo wa vyama vingi ndani ya muundo wa chama kimoja.
Kwa maoni yangu ikiwa tunahitaji upinzani utusaidie kweli kweli lazima tuanze upya harakati za kudai mageuzi ya kidemokrasia nje ya vyama vya upinzani vilivyopo sasa.
Kwa maoni yangu vyama vya upinzani vilivyopo sasa vinatumika tu kama rubber-stamp ya kuhalalisha kuwa nchi yetu ina upinzani kwa manufaa ya ccm.
Hata tukisema tunataka katiba mpya bado huo mchakato utahodhiwa na ccm Kwa kuwa ndiyo inayohodhi system nyingi.
Ukisha futa upinzani utaibua vuguvugu la upinzani lisilo na sura ya kichama lakini lenye sura ya kiharakati ili liwe na uwezo wa kuabsorb ajenda zote zitokeazo njiani.
Upinzani uliopo sasa umeishiwa maarifa ya kupambana na ccm na kuzidiwa mbinu na ccm Kwa mbali sana.
Kivyovyote iwavyo ili kuibua kundi litakalo aminiwa na raia kwamba wanaopigania maslahi ya wananchi basi lazima hilo kundi litokane na harakati.
Nilipowasikia chadema juzi nikawashangaa eti wanaomba ridhaa ya kufanya siasa Toka Kwa serikali inayoongozwa na ccm. Hii ndio dalili ya wazi kwamba tunahitaji aina mpya ya kudai mageuzi.
Hatimae Kwa shinikizo la mataifa makubwa tukakubali kuruhusu mfumo wa vyama vingi ndani ya muundo wa chama kimoja.
Kwa maoni yangu ikiwa tunahitaji upinzani utusaidie kweli kweli lazima tuanze upya harakati za kudai mageuzi ya kidemokrasia nje ya vyama vya upinzani vilivyopo sasa.
Kwa maoni yangu vyama vya upinzani vilivyopo sasa vinatumika tu kama rubber-stamp ya kuhalalisha kuwa nchi yetu ina upinzani kwa manufaa ya ccm.
Hata tukisema tunataka katiba mpya bado huo mchakato utahodhiwa na ccm Kwa kuwa ndiyo inayohodhi system nyingi.
Ukisha futa upinzani utaibua vuguvugu la upinzani lisilo na sura ya kichama lakini lenye sura ya kiharakati ili liwe na uwezo wa kuabsorb ajenda zote zitokeazo njiani.
Upinzani uliopo sasa umeishiwa maarifa ya kupambana na ccm na kuzidiwa mbinu na ccm Kwa mbali sana.
Kivyovyote iwavyo ili kuibua kundi litakalo aminiwa na raia kwamba wanaopigania maslahi ya wananchi basi lazima hilo kundi litokane na harakati.
Nilipowasikia chadema juzi nikawashangaa eti wanaomba ridhaa ya kufanya siasa Toka Kwa serikali inayoongozwa na ccm. Hii ndio dalili ya wazi kwamba tunahitaji aina mpya ya kudai mageuzi.