Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Mi sijafutwa machozi nahisi kupakwa pilipili kichaa machoni jamani
 
Reactions: nao
Huu sasa ni wizi wa wazi kabisa, mama anatufanyia michezo michafu sana
 
so wapangaji wanamsaidia mwenye nyumba kulipia nyumba yake loh, huu ubunifu hatar
Tena Mimi tarehe 01 sept naanza kuwatokza laki 2 kwa room hawataki wahame nipangishe Kuku, Bata na Kanga!!!
 
Kwa wanawake wajiandae na kodi ya hedhi
 
Zifuatazo ni hatua za kuzalisha nishati ya umeme kwa njia ya kinyesi cha binadamu,

1) funga betri kubwa sita
2) weka waya upande hasi na upande chanya
3)ingiza hizo betri kwenye tank la kinyesi pale unapoishi, kisha unganisha katika switch waya wako ujipatie umeme wa bure

Hima watanzania wenzangu tuhamie huko serikali haiwezi kuweka tozo ya kinyesi,
Kacnia to the rescue
 
Hii wanakatwa wapinzani tu. CCM hawakatwi.
Au nasema uongo ndugu zangu?

SHETANI HANA RAFIKI. WALE WALIOKUWA WANAIMBA WATAISOMA NAMBA NA WAO WANAZISOMA HADI ZA KIRUMI.
Sahihii kabisaa, ccm wao ni freee
 
B Betri hizi za national au za gari mkuu
 
Mama anajua hata akijaribu kua Kama Mtangulizi wake bado mtamtukana tu, maana anajua Watanzania hawana shukhurani na wengi hawajui wanachokitaka, JK wa Msoga alitukanwa hadi kuitwa Dhaifu,akawaletea Chuma kigumu nacho pia mkasema ni Dikteta!! Sasa Mama kamua mradi liende Maisha yasongee!!
 
Huu SASA ndo wizi mkuu, badala ya buk ya Kodi ya nyumba Kwa kila Luku, SASA wameiweka buk 2?
Huyu Waziri wa Fedha ni janga la Taifa letu! Tangu apewe uwaziri ni shida kwene:
1. Bei ya Petrol na Diesel.
2. Tozo za Miamala ya simu.
3. Kodi za Majengo.
Huyu Mwigulu Nchemba anatamani awatoze Kodi Watz hata kwenye hewa wanayopumua!!!
Leo anatamba kukusanya 48B kwa kisingizio kuwa zitapeleka maendeleo ya shule na zahanati!
Hivi chanzo Kodi ni Miamala ya simu tu? Fedha ya MADINI yetu,MBUGA za WANYAMA,BANDARI,n.k. ziko wapi?
 
Mama anaupiga mwingiii

Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Mama anawakomesha mataga!

Mamaa anawakomesha sukuma gang na kufuta legacy!


Mamaaa anafungua nchi!
.
Mama anamwaga hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota

Pole pole na Bashiru wanakiona cha moto
 
Reactions: nao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…