Watanzania hawana shukraniMama anajua hata akijaribu kua Kama Mtangulizi wake bado mtamtukana tu, maana anajua Watanzania hawana shukhurani na wengi hawajui wanachokitaka, JK wa Msoga alitukanwa hadi kuitwa Dhaifu,akawaletea Chuma kigumu nacho pia mkasema ni Dikteta!! Sasa Mama kamua mradi liende Maisha yasongee!!
Anatufuta pesa kazi ya waziri wa fedha ni kutafuta pesaHuyu Waziri wa Fedha ni janga la Taifa letu! Tangu apewe uwaziri ni shida kwene:
1. Bei ya Petrol na Diesel.
2. Tozo za Miamala ya simu.
3. Kodi za Majengo.
Huyu Mwigulu Nchemba anatamani awatoze Kodi Watz hata kwenye hewa wanayopumua!!!
Leo anatamba kukusanya 48B kwa kisingizio kuwa zitapeleka maendeleo ya shule na zahanati!
Hivi chanzo Kodi ni Miamala ya simu tu? Fedha ya MADINI yetu,MBUGA za WANYAMA,BANDARI,n.k. ziko wapi?
Vipi magaidi naoMama anawakomesha mataga!
Mamaa anawakomesha sukuma gang na kufuta legacy!
Mamaaa anafungua nchi!
.
Mama anamwaga hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota
Pole pole na Bashiru wanakiona cha moto
Mwigulu for lifeMwigulu ana hasira na Watanzania,Magu alivyomtumbua si mlikua mnamcheka,Mara arudi Singida akalime,na yeye kweli alirudi zake Singida kulima hadi picha alitupia akiwa Shamba analima! Magu kufariki Mama kamrudisha tena,Sasa na yeye kaamua kuwakomoa sasa! Kuna watu Wana visasi hata ipite miaka mingapi! Ndiyo maana Mwigulu anajibu anavyotaka,Kama huriziki na Tz hamia Burundi! by Mwigulu!!
Unafutwa machozi hapaNimenunua umeme na wamekata Tshs. 2000 yao. Jumla ya makato ni kama 20% ya pesa yote, hapo bado kato la “tozo” kwa kuwa nilitumia simu
Ngoja ninunue tena nione na bila shaka watakata tena na tena bila kusubiri mwezi uishe
“Hela za dhulma hapana” my big foot
Nchi hii tajiri sanaa. Soon wataanzisha kodi ya kumiliki gegedo na kalio maana wote mnavyo na mtalipishwa tuUnafutwa machozi hapa
USSR
Alafu acheni kumpa kichwa izi kauli za kifala sijui anaupiga mwingi mnatoa wapi aisee??? Acheni bana anasoma hapa uyu mama na mwenzie nchembe[emoji3][emoji3][emoji3]Mama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Natamani kutukana walahi sema nitapigwa bun!!! Ila hii nchi sijui wananchi sisi niwajinga sijui niwa pole yani tunaletewa mambo yakifala alafu tupo baridi na wameshatujua tutaongea alafu tunazoea....Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
WalahiNgoja nitunze tusi langu kwa sirikali.
Wanasubiri tuzoe waje na tozo zingine.Natamani kutukana walahi sema nitapigwa bun!!! Ila hii nchi sijui wananchi sisi niwajinga sijui niwa pole yani tunaletewa mambo yakifala alafu tupo baridi na wameshatujua tutaongea alafu tunazoea....
Nchi haiwezi kupata laana labda viongozi.Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa
Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19
Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Uchaguzi ukikaribia tozo zinaondokaNchi yetu imejaa amani - CCM. Watanzania ni kweli mna amani mioyoni mwenu? Ni kwenu amani maana yake ni kukosekana kwa vita tu?
Fala Ni wewe unayetaka kila mtu humu awaze Kama weweAlafu acheni kumpa kichwa izi kauli za kifala sijui anaupiga mwingi mnatoa wapi aisee??? Acheni bana anasoma hapa uyu mama na mwenzie nchembe[emoji3][emoji3][emoji3]
Si walisema wanakata Buku 1 kwa mwezi ,why wakate elfu 2? Mimi natumia solar huku porini so sijui hayo makato.
Vyovyote iwavyo, lakini hayo matozotozo ya kipumbavu yasiyokuwa na maana hayakuwepo.Huyu nsdiye alileta haya matatizo. Angekua na akili angeunda mfumo na sio kuunda bunge la kumuongezea muda wa kutawala.