Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

kila siku tozo na kodi nzinaongezeka ila mishahara iko palepale, yaani kuongeza tozo na kodi ndio imekua njia ya kuongeza mapato ya nchi, ndio maana mi huwa sipendi ile mikelele yao ya ooh hii nchi ina rasilimali myingi maana hio sio hoja muhimu issue ni vipi hizo rasilimali zinatumika kuwanufaisha wananchi wake
 
Nimenunua umeme na wamekata Tshs. 2000 yao. Jumla ya makato ni kama 20% ya pesa yote, hapo bado kato la “tozo” kwa kuwa nilitumia simu

Ngoja ninunue tena nione na bila shaka watakata tena na tena bila kusubiri mwezi uishe

“Hela za dhulma hapana” my big foot
 
Mama anajua hata akijaribu kua Kama Mtangulizi wake bado mtamtukana tu, maana anajua Watanzania hawana shukhurani na wengi hawajui wanachokitaka, JK wa Msoga alitukanwa hadi kuitwa Dhaifu,akawaletea Chuma kigumu nacho pia mkasema ni Dikteta!! Sasa Mama kamua mradi liende Maisha yasongee!!
Watanzania hawana shukrani

USSR
 
Huyu Waziri wa Fedha ni janga la Taifa letu! Tangu apewe uwaziri ni shida kwene:
1. Bei ya Petrol na Diesel.
2. Tozo za Miamala ya simu.
3. Kodi za Majengo.
Huyu Mwigulu Nchemba anatamani awatoze Kodi Watz hata kwenye hewa wanayopumua!!!
Leo anatamba kukusanya 48B kwa kisingizio kuwa zitapeleka maendeleo ya shule na zahanati!
Hivi chanzo Kodi ni Miamala ya simu tu? Fedha ya MADINI yetu,MBUGA za WANYAMA,BANDARI,n.k. ziko wapi?
Anatufuta pesa kazi ya waziri wa fedha ni kutafuta pesa

USSR
 
Mama anawakomesha mataga!

Mamaa anawakomesha sukuma gang na kufuta legacy!


Mamaaa anafungua nchi!
.
Mama anamwaga hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota

Pole pole na Bashiru wanakiona cha moto
Vipi magaidi nao

USSR
 
Mwigulu ana hasira na Watanzania,Magu alivyomtumbua si mlikua mnamcheka,Mara arudi Singida akalime,na yeye kweli alirudi zake Singida kulima hadi picha alitupia akiwa Shamba analima! Magu kufariki Mama kamrudisha tena,Sasa na yeye kaamua kuwakomoa sasa! Kuna watu Wana visasi hata ipite miaka mingapi! Ndiyo maana Mwigulu anajibu anavyotaka,Kama huriziki na Tz hamia Burundi! by Mwigulu!!
Mwigulu for life

USSR
 
Nimenunua umeme na wamekata Tshs. 2000 yao. Jumla ya makato ni kama 20% ya pesa yote, hapo bado kato la “tozo” kwa kuwa nilitumia simu

Ngoja ninunue tena nione na bila shaka watakata tena na tena bila kusubiri mwezi uishe

“Hela za dhulma hapana” my big foot
Unafutwa machozi hapa

USSR
 
Mama anaupiga mwingiii

Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Alafu acheni kumpa kichwa izi kauli za kifala sijui anaupiga mwingi mnatoa wapi aisee??? Acheni bana anasoma hapa uyu mama na mwenzie nchembe[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ameandika Evans Rubara

I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.

View attachment 1900475
Natamani kutukana walahi sema nitapigwa bun!!! Ila hii nchi sijui wananchi sisi niwajinga sijui niwa pole yani tunaletewa mambo yakifala alafu tupo baridi na wameshatujua tutaongea alafu tunazoea....
 
Natamani kutukana walahi sema nitapigwa bun!!! Ila hii nchi sijui wananchi sisi niwajinga sijui niwa pole yani tunaletewa mambo yakifala alafu tupo baridi na wameshatujua tutaongea alafu tunazoea....
Wanasubiri tuzoe waje na tozo zingine.
 
Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa

Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19

Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Nchi haiwezi kupata laana labda viongozi.
 
Alafu acheni kumpa kichwa izi kauli za kifala sijui anaupiga mwingi mnatoa wapi aisee??? Acheni bana anasoma hapa uyu mama na mwenzie nchembe[emoji3][emoji3][emoji3]
Fala Ni wewe unayetaka kila mtu humu awaze Kama wewe

USSR
 
Yeah yeah...

Dj walete wazee wa kusifia kutoka Lumumba....

Weka mziki wa haraka kidogo ili tuokoe muda..
 
Huyu nsdiye alileta haya matatizo. Angekua na akili angeunda mfumo na sio kuunda bunge la kumuongezea muda wa kutawala.
Vyovyote iwavyo, lakini hayo matozotozo ya kipumbavu yasiyokuwa na maana hayakuwepo.

Au nasema uongo ndugu zanguni???
 
Back
Top Bottom