Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Tutulie yule wa awamu ya 5 alikuwa hazunguki kwa ushamba na kutojua lugha, hivyo nchi ikawa haina mahusiano na nchi zingine.
Wa mjini acha afungue nchi tutamlipia na convoy yake
Hahaha alikuwa hajui kimalikia leo mmegeuka tena , chadema wanademka Sana ,wacha wafutwe machozi

USSR
 
Hakika tunamkumbuka Magufuli
 
Hahaha alikuwa hajui kimalikia leo mmegeuka tena , chadema wanademka Sana ,wacha wafutwe machozi

USSR
Hahaaaa. Acha tunyooshwe na bado. Oooh tunatawaliwa na mshamba. Fogofu
 
Kabisa mkuu alisema wacha afe wakafanya sherehe, mama anaupiga mwingi Kama Messi. Mpaka Sasa Ana assist 200 na ni dk ya 10

USSR
 
Unajiona wa sayari nyingine, itakuwa heri kama unaishi maisha yako na siyo haya ya JF.
Wanasiasa wenu mnaowaita mwamba wako wapi au wanadai katiba ,unadai katiba huku huna pesa ya Luku

USSR
 
Kumekucha 🤣🤣🤣🤣
Daaaah umekucha mkuu😂😂.

Ukifatila comment zangu humu, mimi ni mfuasi mkubwa sana wa namna ambavyo JPM alifanya kazi zake, licha ya kuwa na mapungufu yake mengi. Ila tangu alipongia huyu bibi sijawahi kabisa kuvutiwa na utendaji kazi wake.

Na kwakua mimi huwa sio bendera fata upepo kama baadhi ya wanaCCM waliojitolea kushangilia kila kitu, nimechukizwa sana na hiki kitu.

Watakao support huu upuuzi ni watu wanaonufaika nao, ama wale tunaowafuga majumbani kwetu maana hawawezi elewa ugumu wa maisha.
 
Kuna Mtu kanitonya Tozo nyingine yaja!!
 
Kajengeni ukuta Kama kipindi Cha JPM ,

USSR
Tatizo la waafrika ni ubinafsi na hatutaendelea hadi dunia inaisha hakuna kiongozi aliopo kwaajili ya raia wake hivi kama nchi haina hela kwanini tunaendelea na zigo la wabunge wasio na tija wanaolipwa mamilioni ya hela kwanini wasipunguzwe kila mkoa ubaki na mbunge mmoja tuuuuuuu???
 
Wanasiasa wenu mnaowaita mwamba wako wapi au wanadai katiba ,unadai katiba huku huna pesa ya Luku

USSR
Nani kakwambia tozo zimewekwa kwa sababu za kisiasa? Ni mvivu wa kufikiri pekee ambaye anawaza siasa kwa kila jambo.
Sikutarajia kama uwezo wako kifikra upo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…