Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Atakayeleta fyokofyoko kukiona - MagufuliAmeandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Huyo jamaa kubishana naye ni kumuongezea milleageMtu anakaa kwa shemeji atajuwa nini zaidi ya kujamba jamba...
Hii ngoma inapiga kotekote. Unless He/she is not responsible for the bills, he has no guts to side with the government's stupidity.Mtu anakaa kwa shemeji atajuwa nini zaidi ya kujamba jamba...
CHADEMA ni chama kinachoongozwa kwa kelele za mitandao na matukio hakuna la maana mwigulu anaupiga mwingi SanaUshabiki wa vyama usikutie upofu. Tumia akili. Kujipendekeza huku na unafiki ndiyo maana hata huwezi kushauri mambo ya msingi.
Hayati Magufuli hakupenda wanafiki kama wewe.
Kwenye jamii tunao wengi sana wanaojiona wako vizuri lakini hawaishi kulialia na kuomba kusaidiwa. Na tunawasaidia bila kujali ujinga wao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana CCM nasikia ukitaka kununua umeme unaambatanisha na kadi ya chama unapata discount.Ccm oyee.
Magufuli alikuwa bingwa mama anajifunza na naona anapambania miradi ,anawafuta machozi baada ya JPM (in mbowe gaidi voice)Nitazidi kumukumbuka mwamba Magu na alishasema mtanikumbuka,hao wenye chama Mzee wa msoga ina maana haya hamuyaoni?mbona enzi zenu htukuwa na hizi tozo za ajabu na maisha yalisonga mbele?kwani nyiee mlipataje pesa ya kuendesha nchi? najua watasingizia COVID19 je haya madahara ya Covid ni kwa serikali tu na si wananchi, huku sasa sio kuupiga mwingi sana bali ni kuupiga mkubwa kupitiliza.
🤣 🤣 🤣Atakayeleta fyokofyoko kukiona - Magufuli
Kuna wakati utafika watu wataanza kuulizwa kwanini hununui Luku ili kulipia deni lako.
Dawa yao kuweka mita halafu hununui umeme unafunga solar.
Kuhusu miamala ya simu naona mwezi wa kwanza tu salamu wanazo.
Nina imani baada ya muda fulani makampuni ya simu yatafunga biashara zao na kwenda kwingine.
Sijawahi kuona serikali yenye tamaa na wavivu kifikiri kama hii.
Unalazimisha kuvuna usipopanda. Tozo na Kodi tu ndicho wanajua. Hadi kodi zinatozwa zaidi ya mara moja kwa huduma/ bidhaa moja.
Yote hayo kwa kuogopa elfu 12 tu ,kumbe hamna uzalendo wa taifa lenuNaanza kufikiria kuweka umeme jua ili niachane na Tanesco,kumbe kupunguza gharama za kuweka umeme na kuwa TZS 27,000 ilikuwa ni mtego, tulifurahia umeme wa REA kumbe kuna shughuli nyuma ya pazia
Hata 5B hawana,hii nchi imejaa usanii wa kijingaKinachosikitisha kama wanataka pesa kwa ajili ya maendeleo kwanini wanatumia fedha za serikali kuu kununulia maVIETE ya milioni 400 kwa ma DC/DED/RC/DAS/RAS etc? DED unamlipa zaidi ya milioni 6 halafu unampa gari ya milioni 400 ,nyumba while mwalimu unampa laki 4 halafu nyumba hana na makato kibao!! Hizo bili 48 walizopata ukija kufuatilia hizo shule wanazosema watajenga utakuja kukuta ni uongo mtupu.
Kinachosikitisha kama wanataka pesa kwa ajili ya maendeleo kwanini wanatumia fedha za serikali kuu kununulia maVIETE ya milioni 400 kwa ma DC/DED/RC/DAS/RAS etc? DED unamlipa zaidi ya milioni 6 halafu unampa gari ya milioni 400 ,nyumba while mwalimu unampa laki 4 halafu nyumba hana na makato kibao!! Hizo bili 48 walizopata ukija kufuatilia hizo shule wanazosema watajenga utakuja kukuta ni uongo mtupu.
Mbowe alikataa lile la KUB akalichukua usiku usikuKinachosikitisha kama wanataka pesa kwa ajili ya maendeleo kwanini wanatumia fedha za serikali kuu kununulia maVIETE ya milioni 400 kwa ma DC/DED/RC/DAS/RAS etc? DED unamlipa zaidi ya milioni 6 halafu unampa gari ya milioni 400 ,nyumba while mwalimu unampa laki 4 halafu nyumba hana na makato kibao!! Hizo bili 48 walizopata ukija kufuatilia hizo shule wanazosema watajenga utakuja kukuta ni uongo mtupu.
2000 mzee baba
Ova
Wahuni sana hawa watu. Bahati nzuri uongo kwao unalipa kuliko ukweli.Kinachosikitisha kama wanataka pesa kwa ajili ya maendeleo kwanini wanatumia fedha za serikali kuu kununulia maVIETE ya milioni 400 kwa ma DC/DED/RC/DAS/RAS etc? DED unamlipa zaidi ya milioni 6 halafu unampa gari ya milioni 400 ,nyumba while mwalimu unampa laki 4 halafu nyumba hana na makato kibao!! Hizo bili 48 walizopata ukija kufuatilia hizo shule wanazosema watajenga utakuja kukuta ni uongo mtupu.
Mpango mahututi siku yoyote bendera nusu mlingotiSasa hatuimbi tu wimbo yaani na Namba zinasomeka vizuri kweli kweli.
Nchi wamekabiziwa majambazi, Mpango , Majaliwa na Mwigilu.
Mbowe alikataa lile la KUB akalichukua usiku usiku
USSR
Hii elfu 12 ni pesa ya Kilimanjaro tu haimizi kivileMpango mahututi siku yoyote bendera nusu mlingoti