Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Sina utajiri ila najivunia elimu niliyoipata kuniondolea ujinga pia naishi maisha ninayoyapenda.

Huku nilipo now baada ya makato yote napabakiwa na 96,000 DKK hii inanitosha sana kutembea ninapotaka na kula nipendacho.
Huko uliko mbona husemi ni wapi na unafanya au unafanywa nini? au Wazungu 'Wanakubenjua' huko 'Kibaikolojia' na unaona Aibu kutuambia?
 
Umeshameza Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili mkubwa ulionao au bado?
Nasikia watoto wa SAUT ndo magonjwa yenu hayo. Kuna jamaa yangu aliniambia akiwa anafundisha hapo korokoroni SAUT alikua analazimishwa na mkuu wake kugawa course work marks za bure kwa vijana maana akili hawajiwezi.

I can bet ulipata division three wewe form six tena ya HKL
 
Tanzania nzima bado hakuna chuo bora. Vyote ni useless.
 
Nina Division II ya Ordinary na Division I ya Advance na Exposure ya Kutukuka ya Dunia hii ambayo mpaka Kufa Kwako hutoweza Kunifikia.
 
Nikiona tu Mtu katika Kujimwambafai Kwake Kielimu anaanza na kusema alianzia Kusoma Diploma kama alivyotuanikia hapa Lusungo huwa namdharau maradufu.
Unaijua LSE lakini au unaharisha hapa? Hahahaha kwa elimu yako majinuni ya SAUT ukajua nilianza na Diploma teh teh teh muulize Rostam LSE alienda soma nini.
Hahahaha mwanafunzi wa SAUT hajui thamani ya hatq certificate ya LSE haahahahahahq
 
Unaijua LSE lakini au unaharisha hapa? Hahahaha kwa elimu yako majinuni ya SAUT ukajua nilianza na Diploma teh teh teh muulize Rostam LSE alienda soma nini.
Hahahaha mwanafunzi wa SAUT hajui thamani ya hatq certificate ya LSE haahahahahahq
Umeshakunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wako mkubwa wa Akili ulionao?
 
Huko uliko mbona husemi ni wapi na unafanya au unafanywa nini? au Wazungu 'Wanakubenjua' huko 'Kibaikolojia' na unaona Aibu kutuambia?
Ungekua na akili angalau hata za jalalani UD ungetambua hiyo hela niliyoandika hapo ni ya wapi teh teh teh nyie mavi mavi tuuu.
 
Umeshakunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wako mkubwa wa Akili ulionao?
Teh teh teh mtoto wa SAUT huna ulijualo we punguani sana hata LSE huijui? Kwahiyo we ukiona diploma unaona ni kilaza mwenzio wa dividion 3 ya HKL? 😂😂
 
Huu ndo ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuhusikia
 
Mbona huonekani kama upo vzr ndugu?
Ukiona mtu 'anajitutumua' sana elewa kuwa ipo shaka ktk 'ufahamu' wake
 
Ukirudi kwenye reality ya ajira ndio utashangazwa na hao unaowaona majuha kwenda SAUT
 
Kama UDSM alumni niseme tu kwamba... kwa level ya Tanzania, UDSM ni ndoto ya kila mtanzania kwa sababu kubwa ya historia ya kile chuo. Yaani kuna hali fulani mi mpaka sasa naifeel kusoma kile chuo.

Siwez ongelea sana issue ya ubora wa graduates wa UDSM kwasababu hiyo kitu ipo subjective, na wala hamna guarantee kwamba aliyesoma pale atakuwa na maajabu yeyote kwenye maisha tofauti na vyuo vingine.

Ila ambacho nna uhakika nacho, UDSM always utawakuta vipanga wa taifa. Na hiyo ndo raha ya kusoma pale. Mfano mdogo tu mimi darasa langu nilisoma na mtu Tanzania one form 4 na form 6 just imagine ile feelings ilivokuwa..

Tuacheni ubishi.. Generally UDSM ni bora kwa Tanzania ila sio kwamba kusoma UDSM ndo ticket ya ku win life.. Life is another thing... ila kwa elimu, UDSM is the best... Ile atmosphere ya pale sio ya kitoto.. Yaani hata nikipita ile barabara ya UDSM ka moyo kanafurahi
 
Huwa unalazimishwa Kuchangia huko? Sasa kama unajua Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko kuna Vilaza wengi inakuwaje tena bado huwa Unasoma Mada za huko? Tukisema Wewe ndiyo Kilaza zaidi na Mwendawazimu utakataa?
Nimeona kwenye trending sijui latest mke wangu kufungua naona ni upuuzi kucheki pale juú naona imepostiwa kwenye habari na hoja

Tuliza bichwa hilo
 
Nimeona kwenye trending sijui latest mke wangu kufungua naona ni upuuzi kucheki pale juú naona imepostiwa kwenye habari na hoja

Tuliza bichwa hilo
Huu utetezi hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuutumia,una shida kichwani ila bado hujajijua tu,
Unaonekana umezowea kuitwa wife ndio maana kila mtu unamuita hivyo,au wewe sio riziki tayari?
 
My first degree nimesoma Makerere

MA. Nimesoma University of Denver

Nimefundisha UDSM from 1993-2001 nafikiri kwa muda huo wasted sperm za babako zilikua hazijakutotoa.
Hivyo vyuo ulivyovitaja unavisikia kwenye [emoji343], nitoleee upupu wako hapa, UDSM uliyofundsha wee labda ya Mbeya, ila sio Mlimani main campus.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…