Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Mwanamume ukishakuwa na pesa, umemzalisha hata ukimcheat mwanamke hana ujanja

Wanawake wengi waliozalishwa huwa wanajua wanacheatiwa ila waoga kuomba talaka

Wanajua hawana soko tena. Ni mwendo wa kuvumilia ndoa
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Kumbe acha nimtafute JITU BANDIA anipe odds 1000 nitie 10000 hapa
 
Na wewe umeamini wife alienda kazini? 🀣🀣 Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score🀣🀣🀣, wahenga walisema mla huliwa🀣🀣
Lazima aende akafungue genge la nyanya mkuu, au ngoja nianze kumfuatilia maana kama machale yameanza kunicheza isije ikawa wewe ndio waifu wangu...πŸ™„
 
Mwanamume ukishakuwa na pesa, umemzalisha hata ukimcheat mwanamke hana ujanja

Wanawake wengi waliozalishwa huwa wanajua wanacheatiwa ila waoga kuomba talaka

Wanajua hawana soko tena. Ni mwendo wa kuvumilia ndoa
Usijiaminishe hivyo, tena hasa Kwa wanawake wa Pwani, labda awe anakupenda sana....au Hana kipato anakutegemea Kwa kila kitu....la sivyo ukaachwa wewe na watoto wako, halafu anaolewa nyumba ya pili tu hapo 🀣🀣🀣
 
You did a great mistake to left her off work furiously ,she met with her sexmate fckd thus why once you came with petty apology she smiles.
 
Lazima aende akafungue genge la nyanya mkuu, au ngoja nianze kumfuatilia maana kama machale yameanza kunicheza isije ikawa wewe ndio waifu wangu...πŸ™„
Akuuu hata siye Mie, Kwanza Mimi mume wangu Hana gari🀣🀣, halafu Sisi tumeanza kupigana matukio kitambo kiasi kwamba nikikuta condom presha hainipandi, sanasana nitaichukua nikaitumie kwenye play zangu za away🀣🀣🀣
Ila take care, Kwa sasa endelea kujifanya mchamungu hivo hivo🀣🀣🀣
 
You did a great mistaken to left her off work furiously she met with her sexmate fckd thus why once you came with petty apology she smiles.
Vijana watakuja kuchukua point hapa ili wasije wakarudia kosa kama langu..πŸ˜‘
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Ukute huyu ndo mke wangu na hii ndo Id yake,dah
 
Tatizo wanaume mnatuchukuliaga hatuna akili, ujue wanawake tunajua sana wanaume mnacheat, Ila hatutarajii mcheat hadi tuwakamate....tukiwakamata upepo unageuka, mnatufungulia mlango wa revenge....
Then wanaopata tabu ni watoto baada ya kuachana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…