Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Na wewe umeamini wife alienda kazini? 🀣🀣 Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score🀣🀣🀣, wahenga walisema mla huliwa🀣🀣
Usimpe presha mzee wetu Ushimen
 
Umetisha
 
Men forget but they never forgive
Women forgive but they never forget
Be carefully.
 
Basi mwamba kajiona amewin sana[emoji1787]

Ndoa hizi[emoji28]
 
Ndio maana hata mimi nawaza kuongeza wake wa3 nikishatoboa mambo yakikaa vizuri.

uksishatoboa mke hawezi kuumia na uke wenza wakati umemuwekea nyumba kali na gari yenye kiyoyozi.

Shida unapiga uke wenza alafu mke kula anapapasia gengeni,ataua kwa hasira πŸ˜„πŸ˜„
 
Na wewe umeamini wife alienda kazini? 🀣🀣 Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score🀣🀣🀣, wahenga walisema mla huliwa🀣🀣
Qummke bila bila.... Mpaka sasa ubao unasoma 1-1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…